Nyimbo zenu vijana wa sasa hazidumu sana ingawa mnatajirika haraka sana. Akina Juma Nature, Profesa J, Selemani Msindi, AY, Crazy GK, FA, TID, wako wapi?
Usizuge,wenzetu huwa wanajipanga wanapoongea,mbona mnatetea uchafu.kama wanavyofanya siku zote hata kama ni utumbo uuache tu!!!kuongea vizuri nako kunahitaji pesa??kila kitu ni ovyo paleMkuu mapungufu yalikuwepo lakini si kwa kiwango tunacho lalamikia, tatizo lingine ni kuwa watu wanataka liwe sawa na award za usa.
Mimi binafsi sikupendezwa na jinsi ITV walivyoshindwa kulionyesha vizuri.
Kilimnjaro wamejitahidi kutafuta client ambao ni best hapa bongo kutengeneza jukwaa nk na kwa bongo pale ndio mwisho. kuhusu pongezi walizotoa wasanii sijui umelinganisha na zipi maana hizo za wenzetu watu wanaongeaga utumbo hadi wananyanganywa mic, mavazi ndio usiseme watu wanavuaga hadi nguo jukwaani.
Kama ni muhudhuriaji mzuri wa show za hawa bongo fleva wala huwezi kushangaa maana ndio vile wanavyofanya jukwaani siku zote na usifananishe na wanavyoimba ktk videos zao, kilichoongezeka ni kuwa walikuwa wanapigiwa live band.
Jmani uandaaji wa tuzo za america music award bajeti yake ni karibu nusu ya bajeti ya tanzania usikae ukaanza kulinganisha sana, mwisho tutaishia kulalama tu bila kuzingatia factor kibao