Kile kipindi ambacho nilipotea

Sasa si ungenipigia simu nije kuku chukua ulale kwangu????
 
Aisee noma sana hii
 
Mshana Jr.....hii kitu umeleta humu ni fiksi tupu!ni kama umeota vileee ......si kweli!story haijanyoooka...uongo mtupu....labda changamsha kijiwe tu!story kama hiz ukikaa beach au kwenye vijiwe vya kahawa......bangi utazisikia tu!ulichofanya ni kujifanya tukio limekutokea wewe.....baada ya kupata masimulizi hasa kwa wavuvi....nk!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…