King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
hodii?
Afu unabishia hodi chumbani? Kweli bhange ni adui wa serekale
hodii?
aah mimi huwa naipenda hii...
View attachment 62319
aah mimi huwa naipenda hii...
View attachment 62319
Kumbe ASPRI kafunga ndio maana siku hizi hata maumivu ya kichwa hawezi kuzuia
unajuaje kama na mimi nataka nikutokee?
acha kuingiliana issue za wenzako bana kwani hakuna wengine wewe unaona kabisa ndiyo anakuja kuja kwangu umeanza kuweka kigiza chako, tafadhali niachie angalau weekend hii nitese nae...
lakn hyo appearence on scrn n fb co jf cjui ny mnaonaje!! O zote sawa
Sikipendi kingereza chenu hicho!?, basi tu! sijui ni huu ualimu wa communication skills ndo unanifanya hivi!? yaani nikiona mtu kaandika kama wewe hivyo najisikia kichefuchefu balaa!! Mnisamehe
Asante mkuu vipi naruhusiwa kuendela sasa?
Maana unalivyojifanya mod!!!.
nikajua leo haitaisha bila kula ban
Yeh hii utoto ya A Free Car Bwana halafu na hapo nyuma kabambataa cha kishaji sio yale ya kwenu makuubwa. Kumbe hayana faida zaidi ya kutoa uchafu mwilini. na pia raha nyingine ni yakiwa yamevishwa nguo sio unayashangilia wakati ukienda 6x6 huyafanyi chochote
unajuaje kama na mimi nataka nikutokee?
unajuaje kama na mimi nataka nikutokee?
acha kuingiliana issue za wenzako bana kwani hakuna wengine wewe unaona kabisa ndiyo anakuja kuja kwangu umeanza kuweka kigiza chako, tafadhali niachie angalau weekend hii nitese nae...
Haya ila kumbuka kuna kale kapost kengine cha supu ya pweza na Konyagi mwambie apite kule apate ushauri ili aweze kukushughulikia ipaswavyo. akishindwa tu napiga supu ya pweza na konyagi kama utarudi tena kwake yaani nikikwambia
Kwa comment hiyo hapo juu, wala uishangaike kunitokea. Mie niko ligi nyingine kabisaa, maliza shule kwanza usichezee ada ya mzazi wako. Mungu hapendi.
Nahisi yuko std 7 huyu. Hajui ganda la mua la jana chungu kaona kivuno!