Hahahahahaha wewe bana kumbe msuba hujaacha bado eeh!
Mbona nshaacha mie. Saa hizi swala 7, PAW kanituliza tuliiiii.
Unihongere na mie kwa kukubali kutulizika. Ita takes two atii, lol.Hehehehhe hongera zake shemeji langu!
Unihongere na mie kwa kukubali kutulizika. Ita takes two atii, lol.
ukuwe na eid njema
Haya hongera na wewe lol.......ukuwe na eid njema pia mpendwa ingawaje mie sijapenda mwezi kuonekana leo......nilitamani eid iwe j3 na j4 lol!
Taifa changa mke mwenza, ngoja tulijenge wenye meno wale. Wakikosa chakula watatuwinda buree