Kila mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba.

Kila mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba.

Jf imevamiwa na wahuni kutoka FB, Kule fb watu wanajiandikia yajazayo akili na mioyo yao bila kudhibitiwa, sasa wamekuja huku kwa waungwana THE GREAT THINKERS, wakiwa na akili za kule.Mbona Twitter Wahuni Wanapaogopa?
 
Inaonekana kuna vitu vinakunyima furaha kwenye maisha yako! Pole usilazimishe tufanane!
Jf imevamiwa na wahuni kutoka FB, Kule fb watu wanajiandikia yajazayo akili na mioyo yao bila kudhibitiwa, sasa wamekuja huku kwa waungwana THE GREAT THINKERS, wakiwa na akili za kule.Mbona Twitter Wahuni Wanapaogopa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu, kila mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba nahiyo mimba lazima awe mtoto wakiume nakama sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, mda mwingine naogopa hata kutongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui wewe ni c.hoko ,s.enge, bwabwa au sijui dubwana gani kwa kweli maana huwezi ukawa mwanamme aliyekamilika unaeshangaa kutia mimba na kujisifia kutia mimba ovyo ovyo!
Na waswas hata hujawah piga papuch wewe utakuwa bwabwa tu unakuja kutuzingua yaani umekaa ukawaza ukaamua kuja na uzi wa kisoro kama huu?
JF imeingiliwa mazima !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui wewe ni c.hoko ,s.enge, bwabwa au sijui dubwana gani kwa kweli maana huwezi ukawa mwanamme aliyekamilika unaeshangaa kutia mimba na kujisifia kutia mimba ovyo ovyo!
Na waswas hata hujawah piga papuch wewe utakuwa bwabwa tu unakuja kutuzingua yaani umekaa ukawaza ukaamua kuja na uzi wa kisoro kama huu?
JF imeingiliwa mazima !

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unateseka mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom