justuce John
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 206
- 222
- Thread starter
- #41
Ushauri wako nitaufanyia kazi, lakini kumbuka swala lakuoa sio lakukurupuka.Acha kuihalalisha zinaa. Maana naona unajipa kibali cha ngono.
Unaona kutumia condoms ndiyo dhambi ya kutupa watoto; sawa ni kweli ila kama waiogopa dhambi why usiache kabisa ngono na ikiwezekana uoe kabisa?!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app