Kila mmoja wetu ana kashetani kake

Kila mmoja wetu ana kashetani kake

Kishetani changu ni JF aisee.......
Kutoka 20
3. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
 
Kutoka 20
3. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.

Stay blessed
 
Tuthibitishie ktk biblia ni aya ya ngapi kutoka kitabu gani na mwandishi ni nani, kma usipotoa aya najua umetunga!
 
Ok nataka andiko tu wala siitaji Uekumene hapa!
Kwanini unataka andiko wakati hii sio mada ya kidini?
Kwanini unataka andiko wakati hakuna nikipotaja kuwa nilichoandika kinahusiana na Bible?
Umesoma vizuri na kuelewa nilichoandika lakini?
 
Sawa Unaweza kuelewa Tabia za Shetani pasupo kujua Shetani ninani, Shetani ni nani na ilikuaje akawa Shetani, unaweza kunipa majibu ya kunitosha pasipo kutumia maandiko, Unapozungumza Mwanadamu na Tabia zake uwezieleweka kirahisi pasipo kurudi ktk historia ya maandiko matakatifu, mfano nikuliize tabia zote za kishetani ndani mwanadamu ni Ubinafsi kujiinua, Je mwanadamu aliumbwa na Ubinafsi?
 
Back
Top Bottom