Kila mmoja wetu ana kashetani kake

Kila mmoja wetu ana kashetani kake

kupenda JF ni hobby kupenda mambo ya kishirikina ni maarifa sio ushetani...usichanganye mada,,,
brother fafanua hapa ko kishirikina ni maarifa kumbe sio ushetan?... hebu tuanze na ww kashetan kako ni kap?...
Kashetani kangu ni mimi..!
 
Umenena mkuu

"Mtu yuko tayari kwenda guest kuliko kwenda kanisani"
Hilo halikwepeki kwa mwanaume aliye kamili
Imagine unajiandaa kwenda kanisani muda huo huo inaingia sms "baby vipi upo gheto nije?"
(Halafu ukute kadada kenyewe ni wale waliobarikiwa urefu wa kitusi na kaweusi flani laini mwembamba wastani hana tumbo ila huku chini ana msambwanda wa maana[emoji39])
Enewei na mimi huo ndo ugonjwa wangu
 
Mi sina kishetani, nina malaika wakuniongoza mema , nyie kaeni na hivyo vishetani vyenu ndio vinawaongiza kufanya mambo ya ajabu
 
Haka kashetani kwangu mimi huwa kananishinda aisee.
hivi parachichi kama hili unashindwaje kulishinda jmn.
IMG_20220623_093726_851.jpg
 
Back
Top Bottom