Kila mmoja wetu ana kashetani kake

Kila mmoja wetu ana kashetani kake

Eee Mola naomba unisamehe kwa yote ninayokukosea.

Kama ujuavyo mimi kwako wewe ni kiumbe dhaifu.

Najitahihidi kwa kadri niwezavyo ila kuna vitu vingine inakuwa ni mtihani zaidi

Eee Mola naomba unisamehe


1455896747607-jpg.324255
 
Mkuu Mshana Jr, umeniacha kidogo uliposema vishetani viko vingi. Mimi nilidhani kuna shetani mmoja tu anaejidhihirisha katika matendo mbalimbali mabaya na pia Mungu mmoja tu anaejidhihirisha katika matendo mbalimbali mema. Kwa vile kwa upande wa shetani umesema kuna vishetani vingi ina maana na kwa upande wa Mungu nako kuna vimungu vingi? Naomba kueleweshwa hapo.
Ndio vipo vimumgu vingi pia vinavyoabudiwa na wengi almaarufu kama miungu
 
Eee Mola naomba unisamehe kwa yote ninayokukosea.

Kama ujuavyo mimi kwako wewe ni kiumbe dhaifu.

Najitahihidi kwa kadri niwezavyo ila kuna vitu vingine inakuwa ni mtihani zaidi

Eee Mola naomba unisamehe


1455896747607-jpg.324255
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] HARUFU hadi nimekuonea huruma
 
Kiongozi wewe sio mtu mzuri hata kidogo.

Hii chambo, hutoki.

Hizi chuchu hatari sana
Wallah hapa usipotoa udenda....[emoji15] [emoji85] [emoji125] [emoji125]
 
Naona umejihami kabisa,eti kupenda mambo ya kishirikina ni maarifa!
 
Mshana kuhusu hiyo picha ya nguvu zinazokuwa transmitted kwny meditation.. Unaweza kufungua thread yake mkuu?,napenda sana kuelewa jnsi ya kutumia nguvu hizi.. Au naomba meditation book(s) recommendation yako
 
Ww jamaa kiboko, naona umejiwekea defence eti ushirikina ni maarifa na kuingia jf ni hoby ila kuangalia mpira na bongo filipino ni kashetan hahahaaaaa
 
Kishetani changu kinanionea yaani mimi nikishalewa ni wanawake tu,kutembea na wanawake wasiopungua wanne kwa kila mwezi jambo la kawaida nikijafunga hesabu kwa mwaka si chini ya 48.huyu shetani ashindwe sasa.
 
Ww jamaa kiboko, naona umejiwekea defence eti ushirikina ni maarifa na kuingia jf ni hoby ila kuangalia mpira na bongo filipino ni kashetan hahahaaaaa
Wala Mgirik sio defence kwakuwa kwenye ushirikina unajifunza mambo anuwai na kuendelea kupata kitu fulani kipya lakini kwenye mpira ni nguvu mbili zinazopingana yani ni kama aina fulani ya ibada yenye mzuka wa dakika 90 au zaidi kidogo na mwishowe kuna matokeo matatu sare kushinda au kushindwa
 
Back
Top Bottom