Kikwete yuko Vietnam

Kikwete yuko Vietnam

Wakati mwingine unaweza kuona unamtetea Mbowe kumbe unadhalilisha.

Mbowe alikwenda Oman ni Lukuvi pamoja na Anna Makinda.

Pesa za safari alitoa Mbowe?

Ritz hii komenti yako ni chini ya kiwango kabisa braza sometime ni busara kukaa kimya kuliko kujifanya una komenti kila sredi ni tatizo.
 
Last edited by a moderator:
Mbowe alikuwa South Africa akaunganisha Oman kisha akarudi Dar es Salaa, leo kaenda Hai.

yani leo mkuu hauko sawa kabisa kichwani naona uta kua na stress maana hizi komenti zako ni bure kabisa.
 
Vasco dagama huku amearisha maskini wachangishwe senti za maabara kwa lazima,ukiwa huna 25000 unakula mkong'oto hadi hivyo wanavijiji wasio nauwezo wamekimbilia vichakana na wanaendelea kusakwa..wakati hiyo pesa ya safari au escrow au za raslimali zingeweza kufanya yote hayo...kweli viongozi wa ccm ni wavivu wa kufikiri na wapenda starehe kwa kutumia pesa za umma.
 
Halafu Wewe Mshikaji umebanwa na mavi nini? Aliyekwambia mimi Ni UKAWA ni nani? Au Unafikiri nchi hii kuna CCM na UKAWA tu? acha kupapatikia watu nenda chooni kwanza, ndio uweze kufikiria vizuri, ala!


Hahahahhaahahaaa.....
 
Safari zake zina faida ndogo kwa wananchi ambao hawapati mlo wa uhakika kwa siku. Na zinatumia gharama nyingi zisizo za lazima. Sasa kama kwa wakati mmoja kuna misafara ya watu 300 wote kwa gharama za walipa kodi unadhani kwa nini nchi isiwe maskini? Kifupi nchi haina vipaumbele, ni ubinafsi tu ndio umetawala. Yawezekana na wewe ndio miongoni mwa wale waliopo kwenye misafara kila siku hupati muda wa kuona wala kujua kama kuna watanzania wanakosa mahitaji ya kila siku.
Tanzania ilivyojaa ardhi na raslimali za kutosha wanakosaje mlo wa siku wakati nguvu ya kufanya kazi wanayo. Uvivu wa kujiendekeza ndio chanzo cha umaskini uliokithiri.

Kwa mawazo yako, hatuna haki ya kuhoji safari zake?hatuna haki ya kujua safari hizo zina tija kiasi gani kwa watz?unadhani JK anasafiri kwa pesa za nani kama si zetu...sisi ndo walipakodi tunatakiwa kuhoji kila kitu.Hii siyo maisha binafsi ya mtu Tunazungumzia taasisi inayotumia pesa zetu...fikiri kabla ya ku...
Tumia pesa upate pesa, huwezi ukakaa tu ndani ukitegemea pesa zitaongezeka. Katika nchi ambayo walipa kodi ni chini ya asilimia 30 utawezaje kulisha na kufanya shughuli ya maendeleo kwa kutegemea kodi peke yake? Hapo hapo bado mnawaunga mkono wanaogoma kutumia EFD, na wakati huo huo mnataka serikali ikae tu ndani bila kutafuta wawekezaji.
 
Wakati mwingine unaweza kuona unamtetea Mbowe kumbe unadhalilisha.

Mbowe alikwenda Oman ni Lukuvi pamoja na Anna Makinda.

Pesa za safari alitoa Mbowe?

Aisee we ndugu sijui ukoje? Kama si illiterate basi you are a killer. Unatumiwa na sisiem.
 
Wapumbavu acheni kudhihirisha chuki zenu huyo JK hana shida ya kwenda kutembea kokote na kishatembea sana nchi kibao tokea enzi zile ambazo hakuwa busy kama sasa hivi, ni huruma yake kwenu mapimbi nyie halafu mnajifanya mnajua. siku hizi kila mtu ana mdomo mrefu kawaachia uhuru wa kuongea basi ndo mnataka kuongea kwa kutumia makalio. Mmepata vielimu kidogo mnajianya hamna shukrani huko vijijini kwenu mlikotoka wengine tangu mmekuja mjini hamjarudi na huku mjini ndo hata ugali hamli eti mmejua BURGER NA PIZZA kumbukeni mlikotoka. huyu jamaa kajitahidi kinoma kwanza aliingia madarakani wakati hali ya uchumi dunia nzima ilikuwa mbovu halafu alikuwa na maadui ambao wamemganda (chui ndani ya ngozi za kondoo). magazeti yenu ya kikuda karuhusu yafanye biashara ya kuuza habari za kipumbavu kwenu wapumbavu mnataka nini awalambe miguu? Hali sio mbaya sana hata kama ni mbaya sio kivile na hata mkiuliza waganga wenu huko vijijini na bibi zenu wana kanamba ka tigo pesa au M-pesa bado mnapiga kelele hatujapiga kahatua.
 
Wakati mwingine unaweza kuona unamtetea Mbowe kumbe unadhalilisha.

Mbowe alikwenda Oman ni Lukuvi pamoja na Anna Makinda.

Pesa za safari alitoa Mbowe?

ni mmoja wa kiongozi bungeni but kwani alienda na kundi gani la chama chake yuko omani
 
Hata kama anaomba kwa ajiri yetu,tumemtuma akaombe?.Kwanini asituulize kwanza kama hili jambo tunalifurahia?.Na mbona akipata ha itishi vyombo vya habari kutuonyesha alicholeta?

hahahahaha..umenichekesha sana
 
Omba omba kazini

Tofauti yake na Mzee Matonya ni kuwa Matonya alikuwa mlemavu na kweli alihitaji msaada na alikuwa na style ya kulala chini na kopo lake. Mwenzetu ni mzima wa afya na anaongoza taifa lenye rasilimali kibao na style yake ni kuruka angani kila siku kujibembelezesha kwa watu huku kavaa suti za gharama kuliko anao waomba.
 
ni aibu sana kuwa na viongozi wenye uwezo kidogo kifikra.

mimi ninaona aibu kuonekana mtanzania kila linapotajwa jina la Rais wa nchi ya Tanzania.

Rais wetu amekuwa wakala wa kutuaibisha kama taifa kwa kuwa ombaomba aliyevuka mipaka ya kuvumilika.

mimi ninawaonea wivu sana wakenya kwa sasa kwa kuwa na viongozi wenye fikira na mtazamo mpana kwa maslahi ya taifa lao.

taifa lao linajivunia sana Rais wao.

kila linapotajwa jina la Uhuru Kenyatta Wakenya wanajivunia sana na hata waafrika kwa ujumla wake.

na mimi najivunia sana kuwa na Kenyatta kama Rais anayebeba nembo na matumaini ya Afrika yaliyopotea miaka mingi.

TUJIFUNZE KWA VIONGOZI WA KENYA HASA UHURU KENYATTA NAMNA YA KUENDESHA NCHI NA SI KUKIMBILIA KUWA OMBAOMBA BADALA YAKE TUKAE KAMA TAIFA TUPANGE NINI TUFANYE ILI TUSITAWI.

HAKUNA NCHI ILIWAHI KUENDELEA KATIKA HISTORIA YA MAENDELEO KOTE DUNIANI KWA KUZUNGUKA DUNIA NZIMAKUOMBAOMBA.

HUYU RAIS ANATUABISHA KAMA TAIFA.

MAANA TUNAONEKANA UWEZO WA TAIFA WA KUFIKIRI KWA UJUMLA WAKE NI KIDOGO SANA KWA SABABU YEYE NDIYO NEMBO KWA TAIFA LETU NA AMESHINDWA KUTUONGOZA KUFANYA MAMBO YETU SISI WENYEWE BADALA YA KUWA OMBAOMBA

10000000000000 % mkuu umenena yaani ni fedheha kubwa sana!!
 
kindege hakitulii kila dakika unakiona kinakatiza kipawa utafikiri daladala bwana[/QUOTE]

Wezi walikuwa wengi bungeni kenya..dawa ni kufanya maandamano na nguruwe hadi bungeni na kuwamwagia damu chafu kuonyesha walivyo wachafu na walafi..xahi wametulia xababu katiba imepitisha lazima safari ziwe za maana na zisizidi kiwango fulani cha fedha
 
Wanapishana na Mbowe alikuwa hapo Oman kwa sultan anakula bata kwenda mbele.

teh teh teh

Ritz nahisi ID yako imeingiliwa siku za karibu post zako zinaleta walakini. Hivi ni nchi gani ambayo Raisi yupo kule na Waziri mkuu yupo kule? kumbuka wote wapo na misafara ya kufa mnyama ni mawaziri wangapi wapo nje ya nchi kwa sasa? halafu tunasema tutaendelea! Gharama wanazotumia na hicho wanachokileta haviwiani.
 
=> Kuna mtu katukana, eti PROFESSOR WA KICHINA..!!?
..🔥👊👊
 
Huyu jamaa bana yaani yuko pande zote. Marekani anaomba misaada, Uchina anaomba pia China na Vietnam hawapatani kivile ila ameenda na huko pia
 
Back
Top Bottom