Kikwete yuko Vietnam

Kikwete yuko Vietnam

Huyu bwana mkubwa bora angeajiriwa na NASA


Ahhha Tafadhali bhana! Yaani Kikwete aajiriwe na NASA? Niijuavyo NASA hakuna hata kitengo kimoja ambacho Kikwete anaweza kushiriki ndani ya NASA hata kama NASA wanatafuta mtu tu wa kubonyeza kitufe kila atakapoona ishara fulani tu kwenye Kompyuta, huyu jamaa hawezi kupita huo Usaili!
 
JK halaumiki ameenda kutafuta soko la kuuza mananasi, alisema akiacha urais ataenda kulima mananasi
 
Ahhha Tafadhali bhana! Yaani Kikwete aajiriwe na NASA? Niijuavyo NASA hakuna hata kitengo kimoja ambacho Kikwete anaweza kushiriki ndani ya NASA hata kama NASA wanatafuta mtu tu wa kubonyeza kitufe kila atakapoona ishara fulani tu kwenye Kompyuta, huyu jamaa hawezi kupita huo Usaili!
Nasikia NASA walimpa zawadi ya begi Dr.Slaa hiyo zawaidi wameishapewa watu wawili tu duniani, Dr.Slaa na Obama.

teh teh teh
 
Ahhha Tafadhali bhana! Yaani Kikwete aajiriwe na NASA? Niijuavyo NASA hakuna hata kitengo kimoja ambacho Kikwete anaweza kushiriki ndani ya NASA hata kama NASA wanatafuta mtu tu wa kubonyeza kitufe kila atakapoona ishara fulani tu kwenye Kompyuta, huyu jamaa hawezi kupita huo Usaili!
Unajua mlivyowajinga mnajitahidi kupotosha na kuhangaika na jk wakati wenzenu ccm wanaandaa vema mgombea ajaye nyie ukawa midomo mirefu kama chupa kazi umbea tu.
 
Unajua mlivyowajinga mnajitahidi kupotosha na kuhangaika na jk wakati wenzenu ccm wanaandaa vema mgombea ajaye nyie ukawa midomo mirefu kama chupa kazi umbea tu.

Halafu Wewe Mshikaji umebanwa na mavi nini? Aliyekwambia mimi Ni UKAWA ni nani? Au Unafikiri nchi hii kuna CCM na UKAWA tu? acha kupapatikia watu nenda chooni kwanza, ndio uweze kufikiria vizuri, ala!

 
Mbowe alikuwa South Africa akaunganisha Oman kisha akarudi Dar es Salaa, leo kaenda Hai.
Mkuu Ritz hawa misukule wa UKAWA hawana jema, ndio maana tunawapuuza, wanamfananisha Rais wa nchi na Mzee Slaa ...

Ubarikiwe kwa kwa kuendelea kuwa na msimamo wa kuutetea ukweli pamoja na vikwazo mbali mbali kama MATUSI, VITISHO, KEJELI, na kila aina ya dhihaka kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA.
 
Last edited by a moderator:
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!

Akirudi mumkumbushe kuwa amesahau kuwa hajaenda Bermuda na Bahamas na muda ndio huo unayoyoma.
 
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!

ni aibu sana kuwa na viongozi wenye uwezo kidogo kifikra.

mimi ninaona aibu kuonekana mtanzania kila linapotajwa jina la Rais wa nchi ya Tanzania.

Rais wetu amekuwa wakala wa kutuaibisha kama taifa kwa kuwa ombaomba aliyevuka mipaka ya kuvumilika.

mimi ninawaonea wivu sana wakenya kwa sasa kwa kuwa na viongozi wenye fikira na mtazamo mpana kwa maslahi ya taifa lao.

taifa lao linajivunia sana Rais wao.

kila linapotajwa jina la Uhuru Kenyatta Wakenya wanajivunia sana na hata waafrika kwa ujumla wake.

na mimi najivunia sana kuwa na Kenyatta kama Rais anayebeba nembo na matumaini ya Afrika yaliyopotea miaka mingi.

TUJIFUNZE KWA VIONGOZI WA KENYA HASA UHURU KENYATTA NAMNA YA KUENDESHA NCHI NA SI KUKIMBILIA KUWA OMBAOMBA BADALA YAKE TUKAE KAMA TAIFA TUPANGE NINI TUFANYE ILI TUSITAWI.

HAKUNA NCHI ILIWAHI KUENDELEA KATIKA HISTORIA YA MAENDELEO KOTE DUNIANI KWA KUZUNGUKA DUNIA NZIMAKUOMBAOMBA.

HUYU RAIS ANATUABISHA KAMA TAIFA.

MAANA TUNAONEKANA UWEZO WA TAIFA WA KUFIKIRI KWA UJUMLA WAKE NI KIDOGO SANA KWA SABABU YEYE NDIYO NEMBO KWA TAIFA LETU NA AMESHINDWA KUTUONGOZA KUFANYA MAMBO YETU SISI WENYEWE BADALA YA KUWA OMBAOMBA
 
Mbowe alikuwa South Africa akaunganisha Oman kisha akarudi Dar es Salaa, leo kaenda Hai.

Duh!!! we jamaa kweli huna akili kabisa, hiyo ziara ya Mh. Mbowe ilikuwa ni ya Kiserikali, ya kichama au ya kibinafsi? na je ziara hiyo imegharamiwa na fedha za serikali?
 
Huyu kiongozi ni laana!

Kweli kabisa mkuu yaani wahisani wamegoma kutoa misaada kuchangia hili libudget letu halafu yeye badala ya kupunguza matumizi kwa kutofanya ziara zisizo na tija ndio kwanza kila uchwao kiguu na njia.
 
Back
Top Bottom