BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Huku deni la taifa linapaaa, madawa hakuna hospital,nchi imefilisikaMbowe alikuwa South Africa akaunganisha Oman kisha akarudi Dar es Salaa, leo kaenda Hai.
Huku deni la taifa linapaaa, madawa hakuna hospital,nchi imefilisikaMbowe alikuwa South Africa akaunganisha Oman kisha akarudi Dar es Salaa, leo kaenda Hai.
Unajua mlivyowajinga mnajitahidi kupotosha na kuhangaika na jk wakati wenzenu ccm wanaandaa vema mgombea ajaye nyie ukawa midomo mirefu kama chupa kazi umbea tu.
Kwa hivyo Great Thinker unashauri Rais awe anabaki humu humu nchini ?? Halafu Marais wa hizo nchi za Ulaya, Marekani na Asia ndiyo waje wamtembeleee ? Wafanyabiashara na Wawekezaji waje kumtembelea ? Hiyo nayo SHULE !
Mkuu Ritz hawa misukule wa UKAWA hawana jema, ndio maana tunawapuuza, wanamfananisha Rais wa nchi na Mzee Slaa ...
Ubarikiwe kwa kwa kuendelea kuwa na msimamo wa kuutetea ukweli pamoja na vikwazo mbali mbali kama MATUSI, VITISHO, KEJELI, na kila aina ya dhihaka kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA.
Mnahangaika sana. JK ni mchapakazi hodari na akitoka ziara za nje kama kawa anafanya ziara za ndani
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!
Kwa hivyo Great Thinker unashauri Rais awe anabaki humu humu nchini ?? Halafu Marais wa hizo nchi za Ulaya, Marekani na Asia ndiyo waje wamtembeleee ? Wafanyabiashara na Wawekezaji waje kumtembelea ? Hiyo nayo SHULE !
Naomba apate ebola huko
Mbowe alikuwa South Africa akaunganisha Oman kisha akarudi Dar es Salaa, leo kaenda Hai.
Hivi wale waliosema kuwa nchi haitatawalika wapo hai au wamekufa?
JK halaumiki ameenda kutafuta soko la kuuza mananasi, alisema akiacha urais ataenda kulima mananasi
Asivyo na mishipa ya aibu, huko nako amekwenda kutembeza bakuli la ombaomba!
Ahhha Tafadhali bhana! Yaani Kikwete aajiriwe na NASA? Niijuavyo NASA hakuna hata kitengo kimoja ambacho Kikwete anaweza kushiriki ndani ya NASA hata kama NASA wanatafuta mtu tu wa kubonyeza kitufe kila atakapoona ishara fulani tu kwenye Kompyuta, huyu jamaa hawezi kupita huo Usaili!
Dr. Slaa akipokea zawadi maalum ambayo rais wa marekani tu ndiye aliyewahi kupewamkuu pinda akitoka poland anakwenda oman si unajua sultan zawadi zake ni mwendo wa bata kwenda mbele
Na wewe nenda Kenya ukiwa ndugu zakk kama 200 hivi ili umpiku Kikwete maana naona unawasha sana kila ukisiki Rais kasafiri.
Nasikia NASA walimpa zawadi ya begi Dr.Slaa hiyo zawaidi wameishapewa watu wawili tu duniani, Dr.Slaa na Obama.
teh teh teh
Ufisadi gani kuchukuwa ruzuku na kwenda kununua nyumba Dubai na kukiuzia chama fuso chakavu kwa milioni 400.Ni aibu kubwa kutetea ufisadi rushwa elimu kuanguka dawa hakuna