this is silly; amejuaje zinatosha? walikuwa na kiwango walichotaka kufikia au kulikuwa na kiasi ambacho kilikuwa kinaweza kuvumilika na sasa kimepitilizwa?
Sijawahi kumwona Rais kama huyu kazi kupiga domo tu bila vitendo
Wakati ule watu walikuwa na misumali tu, siku hizi mnamiliki bunduki...hata Yesu aliahidi siku si nyingi atarudi,
hata Yesu aliahidi siku si nyingi atarudi,
Blistering Barnacles....:A S angry:
Hivi kumbe walikuwa wanavumiliana wakati watu wanapoteza mali zao, uhai wao na kushindwa kuenedelea na shughuli zao za kila siku ?
Sasa watawalipa nini wale waliokumbwa na haya matatizo sababu ya uzembe wao ?; Ni kweli better late than never ila inabidi wale waliovumilia hizi nyufa mpaka sasa tunajenga ukuta nao wawajibike