Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Kwa hiyo mulitaka atumie kofia yake ya uwaziri kuwaletea ninyi meli bila kuangalia priorities??? Musafirishe nini?? Mawese??? Mchele????
Binafsi nimeona kitu na natambua juuhudi za mwakyembe kuwepo wizara ya uchukuzi na kama ingekuwa amri yangu angebaki huko. Tizama vichwa vipya vya treni vilivyoletwa mwezi jana kama si juzi.
Acheni ubinafsi, waziri kutokea kwenu isiwe nongwa.
Mengineyo, hakuna aliyekamilika. Hata wewe ukipewa utafanya vitu kwa umuhimu na utaratibu uliowekwa.
Inaonekana akija kuwa Rais, mnaweza taka makao makuu ya nchi yaamishiwe Kyela.
Ukiwa WAZIRI ndiyo unajiondolea mwenyewe majukumu ya kulihudumia Jimbo lako sababusasa unafanya kazi za kitaifa?Watu mna miss point muhimu sana hapa!
Dr Mwakyembe hata tumepata mafuriko makubwa Kyela kaja na kakaa masaa tu,anaulizwa mbona unaondoka kabla hata maiti za watu bado hazipatikana na unaondoka bila hata ya kuacha mipango jinsi ya kusaidia akina Mama na watoto waliokosa mahaki pa kukaa yy anajibu"nina kazi nyingi za kitaifa"
Alijisahau kuwa ili awe WAZIRI lzm awe Mbunge!Sasa tunamuondoa ili awe mbunge wa kuteuliwa aendelee na UWAZIRI WAKE