Yeye pia ni binadam kuna mda anaweza kwenda tofauti,yeye sio mungu!!!! Mbona hatusemi wizara zingine?!,ujue hadi tunaongea inamaana kuna kitu hakijaenda sawa!!!!
TAMISEMI imeenda sawa kwa mfano? Maswali ni mengi kuliko majibu
Yeye pia ni binadam kuna mda anaweza kwenda tofauti,yeye sio mungu!!!! Mbona hatusemi wizara zingine?!,ujue hadi tunaongea inamaana kuna kitu hakijaenda sawa!!!!
Mwakyembe alienda Marekani na kutia saini ya makubaliano ili kuleta reli ya uwanja wa ndege wa Dar es Salaam. Muwekezaji aliyehusika inadaiwa ni tapeli anayefahamika duniani. Ndugu Shumake. Ni vizuri wamemuhamisha kuepusha hili dili lisiendelee.
Jamani tumwache rais afanye kazi yeye ndo mwenye dhamana
Nilikuwa.sifahamu.kuwa.kwenda wizara ya.afrika.mashariki ni.adhabu na.kwamba kuna.watu.hawafai.kuitumikia ile.wizara
Kumbe sitta huwa anaigiza na akina wolper,na ray
Malafyae unamuonea tu MWAKYEMBE, huko Mwanza hajapeleka meli wala kujenga bandari! Hata Dar bandari hajajenga. Labda useme huko anakutembea sana kila mara na huko kwenye bandari ya kwenu haji mara kwa mara. Hiyo ni kwa vile anakufahamu sana huko haitaji kuja kufahamu matatizo yake.Kama huijui Kyela nyamaza tafadhali
Kyela tuna bandari HAJAWAHI igusa hata kwa miundo mbinu kila siku tunaona anaimarisha bandai ya Dar,Mwanza na Tanga
Kyela tuna meli chakavu zinazo zima katikati ya ziwa kila siku lkn ni Mwakyembe aliyeipa Mwanza hela za meli mpya!
Mwakyembe ni mbunge wa hovyo hovyo kupata kutokea ktk Wilaya ya Kyela na hawezi shinda hata kura za maoni
achilia mbali kupambana na CHADEMA
wananchi wa jimbo la kyela tulipata faraja kubwa baada ya kukabidhiwa wizara hii, umeshindwa kuiga kwa mawaziri wenzio,
100% hujawahi fika Kyela!
100% hujawahi iona Kyela ya Mbunge Mwakipesile na Mbunge Mwakyembe
100% hujui kama Kyela nayo ina bandari na ina meli mbovu na Mwakyembe kama Mbunge wetu hajawahi hata fika bandarini kuona tatizo wanalopata wapiga kura bandarini hapo
100% wala hujui Mbunge kwanza ahudumie matatizo ya wapiga kura wake kingine ndiyo kinafuatia
Kama mmnampenda Mwakyembe mshaurini agombee kwenye majimbo yenu,huku anajua hapiti hajafanya lolote kwa miaka yake hii 10
Then unapoleta hoja ACHA KUTUMIA LUGHA ZA KUKERA,tumia lugha nyoofu utaeleweka zaidi!Neno una akili wewe sidhani kama hapa ni mahali pale
Mkuu
pixel 23:58 Today
Mleta mada ana ujasiri wa ajabu sana kuleta mada
kama hii public.ni hatari sana kustimulate waziri
apendelee kwao,yani waziri asipeleke meli
iliyoahidiwa na mhe.Rais/chama wakati wa
kampeni ila aipeleke kyela kwao?
Yaani ungejua jimboni kwake ambako ni kwetu kulivyo wala hata usingemponda mleta maada...ndugu yangu hali ni mbaya sana...baada ya kupata dhoruba ile iliyompelekea kuugua...aliwahi ahidi (NASIKIA) kuwa jk akimchagua uwaziri hata kubali tena..kumbe ilikuwa ahadi ya buree...tu!! sasa hilo ni tisa...
Matatizo tuliyokuwa nayo miaka ya 1995 mpaka leo yapo umeme maeneo ya mabunga, kisale mpaka leo kimya lakini alituahidi mda mrefu ssaaaaana, huduma za jamii bado hatuna kwa hiyo
mtoa maada hajakosea kabisa kuleta maada hii hapa..
pia tukumbuke kuwa wanainchi tunataka mabadiliko saaa hivi...kwa hiyo tunamkaribisha 2015 aje kupumzika huku mabhunga kisale...baada ya kulitumikia taifa huko.
Kama huijui Kyela nyamaza tafadhali
Kyela tuna bandari HAJAWAHI igusa hata kwa miundo mbinu kila siku tunaona anaimarisha bandai ya Dar,Mwanza na Tanga
Kyela tuna meli chakavu zinazo zima katikati ya ziwa kila siku lkn ni Mwakyembe aliyeipa Mwanza hela za meli mpya!
Mwakyembe ni mbunge wa hovyo hovyo kupata kutokea ktk Wilaya ya Kyela na hawezi shinda hata kura za maoni
achilia mbali kupambana na CHADEMA
Si lazima alete meli , lakini ukumbuke kwamba Mwakyembe kama mbunge alikuwa na ahadi za kuboresha miundo mbinu kwenye jimbo lake , sasa kama ameshindwa akiwa jikoni ataweza akiwa bafuni ? Lingine ni kwamba hakuna waziri yeyote aliyekatazwa kutimiza ahadi jimboni kwake , hakuna andiko la namna hiyo ! Bali ukweli ni kwamba Mwakyembe ameshindwa kutimiza kile alichoahidi kyela na ATAVUNA ALICHOPANDA , HAKUNA CHA MSWALIE MTUME WALA YESU NI JIBU .Mleta mada ana ujasiri wa ajabu sana kuleta mada kama hii public.ni hatari sana kustimulate waziri apendelee kwao,yani waziri asipeleke meli iliyoahidiwa na mhe.Rais/chama wakati wa kampeni ila aipeleke kyela kwao?
MUNGU akulinde sana mkuu .Mkuu bandari ya Kyela maarufu kama Itungi Port ipo ktk kata ya Kajunjumele nyumbani kwa mama yake Mwakyembe!Ni Bandari ya asili ambayo haijachimbwa kina chake na ina mchanga mweupe unao anzia Mwaya kutambaa hadi Ikombe kwa upande wa pili!Ni bandari inayohudumia nchi za Msumbiji na Malawi lkn biashara imedorara sababu ya uchakavu wa meli zake MV Iringa na MV Songea!
Mwakyembe hapatani na wapiga kura wa kata hiyo sana kwa sababukuu 2: Kwanza ilikuwa ngome kuu ya Mwakipesile na walimnyima kura Mwakyembe uchaguzi wa 2005 na sababu ya pili ni uchafuzi wa mazingira wa meli za Malawi zinazoleta makaa ya mawe toka Mchuchuma na malori ya Mbeya Cement yana pakua makaa hayo toka pale kijijini yanaharibu sana mazingira!Wananchi wamemuomba Mwakyembe aingilie kati bila majibu
Wakati wa Mwakipesile bandari hii ilikuwa chanzo kikubwa sana cha ajira kwa wazawa
Linga mkubhujisya ngubhaseka,
Swali zuri mno ! Lakinihv kuwa waziri wa serikali Hii maana yake ni umekuwa waziri wa jimbo lako?
Nakamo nakamo , kangi ngubhula ukuti mwakyembe mma imbombo jake mwa kyela jimalike , ngasimanya isya mwakyusa .Abhandu bha Kyela na gwa kutukujhu bha ka na mahala kabisa. Mwakyembe ikubhuja na Mwakyusa jhope ikubhuja mwi bunge