Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Watu wa kyela hawana utani,
Nakumbuka yaliyomkuta Mwakipesile miaka ile.
Hapana, mwakipesile alikuwa ameisha tumika sana, walau hata barabara kuu ili wekwa lami, umeme pia tulikuwa hatuujui mgao, pia miaka aliyotumika ilikuwa inamtosha kabisa, ila huyu hapana anautani na watu, wacha apunzike. pamoja na kuwakuna uwezekano mkubwa wa kuchaguliwa tena, na hivi ni waziri sijui.