Kikwete unamuogopa Mwakyembe

Kikwete unamuogopa Mwakyembe

Mkuu pixel shida ya watu wa Mabunga Kisale mpaka Kafundo ni shida aswa hata zahanati kwa vijiji hivi hamna isipokuwa zahanati ya Ngamanga.

kazi kweli kweli.
 
Last edited by a moderator:
Come on Great Thinker!!

Mwakyembe anapaswa kulihudumia kwanza JIMBO lake!Kaingia Bungeni kama MBUNGE wa Kyela aliyetumwa kuisimamia Kyela kwenye mgawanyo wa keki ya Taifa

Kyela ina bandari kama Mwanza lkn yy kama Waziri ali alllocate bajeti Mwanza akiiasha Kyela
Kaimarisha bandari ya Dar akicha bandari ya Kyela
Kanunua meli mpya Mwanza akiicha Kyela

Miaka 10 ya Mwakyembe Kyela ni porojo tu!Hata Wizara ya uchukuzi hapo zaidi ya porojo kafanya nn?Tanzania bado haina ndege hata moja,TZ bado haina shirika lake imara la reli,TZ bado ndiyo ina bandari yenye huduma mbovu kuliko zote duniani!Watumishi wa wizara yake ndiyo wanaolipana nusu milion kama posho per day!

Mkuu ipo siku utatuelewa!Huyu ni mzushi tu.Mwakipesile alituacha pazuri sana kwenye miundo mbinu lkn huyu hata Kyela hafiki kazi ni kununua prime time kwenye media tu na wala Kyela hatujashangaa kuondolewa UCHUKUZI na kuwekwa wizara boya

mwaka huu aende kugombea ama Temeke,au Mwanza au Dodoma ndipo alipo peleka projects zake!Kyela tumeisha mkataa toka uchaguzi uliopita!

Jaribu ku critical thinking

Kwa hiyo mulitaka atumie kofia yake ya uwaziri kuwaletea ninyi meli bila kuangalia priorities??? Musafirishe nini?? Mawese??? Mchele????

Binafsi nimeona kitu na natambua juuhudi za mwakyembe kuwepo wizara ya uchukuzi na kama ingekuwa amri yangu angebaki huko. Tizama vichwa vipya vya treni vilivyoletwa mwezi jana kama si juzi.

Acheni ubinafsi, waziri kutokea kwenu isiwe nongwa.

Mengineyo, hakuna aliyekamilika. Hata wewe ukipewa utafanya vitu kwa umuhimu na utaratibu uliowekwa.

Inaonekana akija kuwa Rais, mnaweza taka makao makuu ya nchi yaamishiwe Kyela.
 
wananchi wa jimbo la kyela tulipata faraja kubwa baada ya kukabidhiwa wizara hii, umeshindwa kuiga kwa mawaziri wenzio,

Am I Missing something?!

Naomba kuelimishwa, hivi Dr. Mwakyembe alikuwa waziri wa uchukuzi wa Kyela au Tanzania?
 
Am I Missing something?!

Naomba kuelimishwa, hivi Dr. Mwakyembe alikuwa waziri wa uchukuzi wa Kyela au Tanzania?

naomba kuelimishwa hivi kyela ipo nchi gani, na mwakyembe kapata uwaziri kupitia ubunge wa jimbo gani? je si haki wananchi kuhoji Ahadi za mbunge wao kama kapewa uwaziri?
 
Kuondoka kwa mwakyembe ni pigo sana kwa watumishi wadogo hapa wizarani. Kitendo cha kumleta SIX wizara hii ni sawa sawa na kumleta BUNDI wizarani.tunachosubiria sasa ni matukio.
 
Tatizo la mwakyembe ni papara halafu ana ndoto za kufanya biashara. Ni hatari sana kupewa wizara zenye miradi..ni mpigaji kama wengine wala msijidanganye. Huyo hatakiwi hata kuwa waziri abaki kuwa mbunge tu aendelee kupiga kelele

Pamoja na papara wewe unazodai anazo je, alichofanya alipokuwa hiyo wizara kinaoneka au hakionekani? Be honest mkuu!!
 
Msijidanganye, Mwakyembe kama walivyo ma gamba wengine Ni mpigaji wa kwema mbele.Pale ofisini kwake misululu ya wahindi ilikuwa haiishi! Ni populist nambari one!
 
Msijidanganye, Mwakyembe kama walivyo ma gamba wengine Ni mpigaji wa kwema mbele.Pale ofisini kwake misululu ya wahindi ilikuwa haiishi! Ni populist nambari one!

Kuleta huduma ya treni Dar es Salaam ni kujidanganya?
 
Me wizara hizo nyingine siwezi sema mengi lakini hii ya mwakyembe ,nadhani kuna hira ba uvundo ndani yake yaaani kuna vitu mwakyembe haendani na kikwete yeye kama yeye au nawashauri wake wa karbu na pengine wakiwa wanahofia baadhi ya vitu,ukumbuke sita alitupwa huko EAC,baada ya kuwa anaikosoa sana safu ya uongozi wa juu na hasa reaction alizoonesha baada ta kukosa uspeaker.
Sasa basi makyembe amekuwa amejizolea umaarufu na alikuwa amepambana na uozo ulikuwa umejificha hko bandarini na kna watu hadi leo wanapga makofi na yamkini watardushwa tena kwani mwakyembe katoka!!!


Mafisi yote ya bandari watakuwa wanafanya sherehe kubwa. Bila shaka wamemwambia Prof. Dhaifu amtoe Mwakyembe ili waendeleze wizi wao pale bandarini. Wauza sembe nao hawakubaki nyuma pale Airport. Kuondoka Mwakyembe ni faraja kwao. What a shame!
 
Kama huijui Kyela nyamaza tafadhali
Kyela tuna bandari HAJAWAHI igusa hata kwa miundo mbinu kila siku tunaona anaimarisha bandai ya Dar,Mwanza na Tanga
Kyela tuna meli chakavu zinazo zima katikati ya ziwa kila siku lkn ni Mwakyembe aliyeipa Mwanza hela za meli mpya!

Mwakyembe ni mbunge wa hovyo hovyo kupata kutokea ktk Wilaya ya Kyela na hawezi shinda hata kura za maoni
achilia mbali kupambana na CHADEMA


kwa maana hiyo makinda naye apeleke hansad za bunge njombe?
au mlitaka ajenge bandari kwenye ziwa la wamalawi ? acheni utoto!
 
100% hujawahi fika Kyela!
100% hujawahi iona Kyela ya Mbunge Mwakipesile na Mbunge Mwakyembe
100% hujui kama Kyela nayo ina bandari na ina meli mbovu na Mwakyembe kama Mbunge wetu hajawahi hata fika bandarini kuona tatizo wanalopata wapiga kura bandarini hapo
100% wala hujui Mbunge kwanza ahudumie matatizo ya wapiga kura wake kingine ndiyo kinafuatia

Kama mmnampenda Mwakyembe mshaurini agombee kwenye majimbo yenu,huku anajua hapiti hajafanya lolote kwa miaka yake hii 10

Then unapoleta hoja ACHA KUTUMIA LUGHA ZA KUKERA,tumia lugha nyoofu utaeleweka zaidi!Neno una akili wewe sidhani kama hapa ni mahali pale

Mimi ninachomlaumu ni ule unafiki wa kukataa Thesis yake mwenyewe, vinginevyo ni mchapakaz
 
Yawezekana Mwakyembe alogusa maslahi ya prof Wa kichina pamoja na mashwahiba wake ndio akaamua kumwaga maji dr. Mwakyembe na kumuhamisha wizara
 
Hata mimi nimejaribu kuliangalia hili,nimeona kama kuna kupotezeana vile!!!!

Hivi umtoe Mwakyembe wizara ya uchukuzi halafu umlete msanii wa bongo muvi Sitta!!?


Huku si kuwatania watanzania!!?

Tangu Mwakyembe akatae publication yake ya serikali 3 ndipo alipojiloga. Cta yeye kapandishwa cheo kwa udhulumati aliofanya kwenye andishi lao na fisadi Chenge
 
Msijidanganye, Mwakyembe kama walivyo ma gamba wengine Ni mpigaji wa kwema mbele.Pale ofisini kwake misululu ya wahindi ilikuwa haiishi! Ni populist nambari one!

Nadhani Dr alielezwa kuhusu upopulist wake akaamua kumshugjulikia. Hivi yale.mabehewa yasiyokidhi viwango vipi?
 
Kitendo cha kusema 100% hajawahi fika kyela wakati unakumbuka kuwa hata wakati wa janga la mafuriko alikuwepo kyela,hapo umeshanikatisha tamaa kujadili mada.au ulitaka aache ofisi Dar aje kulala kyela?Hata hivyo tunataka mlalamike kwa ubunge wake,sio mnakuja kulalamika eti Mwakiembe hakuifanyia kitu kyela kwa nafasi yake ya uwaziri.je kama hakupata loophole ya kuipendelea kyela?afanye tu?c ndio?

Mafuriko y 2014 ndiyo mafuriko makubwa kuikumba Kyela yakiizidi hata yale ya mwaka 1952,ni mafuriko yaliyo ua watu wengi na kuharibu nyumba na miundo mbinu LKN Mbunge wetu alifika na kukaa Kyela ndani ya masaa tu akiwatembelea wahanga wa Itope tu!

Wapiga kura walipohoji kwa nn anakaa Kyela ndani ya masaa tu wakati hata maiti nyingi bado hazijapatikana Mwakyembe akajibu kuwa YY NI WAZIRI ANA KAZI NYINGI ZA KITAIFA!
 
Mimi ninachomlaumu ni ule unafiki wa kukataa Thesis yake mwenyewe, vinginevyo ni mchapakaz

Nipe uchapakazi wake mmoja tu mkuu!!Kafanya nn Kyela na kafanya nn Wizara ya UCHUKUZI zaidi ya porojo?
 
kwa maana hiyo makinda naye apeleke hansad za bunge njombe?
au mlitaka ajenge bandari kwenye ziwa la wamalawi ? acheni utoto!

Kuwa Waziri HAKUZUII kufikiria kwa manufaa ya Jimbo lako!Wapiga kura wake sisi tukimfuata alikuwa anatujibu'YY NI WAZIRI ana majukumu mengi ya kitaifa',sasa tunamtoa ili aendelee kuwa Waziri

Alijisahau kuwa ili kuwa WAZIRI kwanza inabidi uwe Mbunge,na alijisahau kuwa kuwa Waziri majukumu ya kuihudumia Kyela yapo pale pale
 
Back
Top Bottom