Kikwete unamuogopa Mwakyembe

Kikwete unamuogopa Mwakyembe

Kuna watu mna vituko, et mwakyembe aliwapa hela mwanza kwa ajil ya meli. Mwakyembe ana pesa za namna hiyo???

Kwa hiyo mulitaka kutumia uwaziri wake kuwafavor ninyi coz ni jimbo lake??? Non sense

Come on Great Thinker!!

Mwakyembe anapaswa kulihudumia kwanza JIMBO lake!Kaingia Bungeni kama MBUNGE wa Kyela aliyetumwa kuisimamia Kyela kwenye mgawanyo wa keki ya Taifa

Kyela ina bandari kama Mwanza lkn yy kama Waziri ali alllocate bajeti Mwanza akiiasha Kyela
Kaimarisha bandari ya Dar akicha bandari ya Kyela
Kanunua meli mpya Mwanza akiicha Kyela

Miaka 10 ya Mwakyembe Kyela ni porojo tu!Hata Wizara ya uchukuzi hapo zaidi ya porojo kafanya nn?Tanzania bado haina ndege hata moja,TZ bado haina shirika lake imara la reli,TZ bado ndiyo ina bandari yenye huduma mbovu kuliko zote duniani!Watumishi wa wizara yake ndiyo wanaolipana nusu milion kama posho per day!

Mkuu ipo siku utatuelewa!Huyu ni mzushi tu.Mwakipesile alituacha pazuri sana kwenye miundo mbinu lkn huyu hata Kyela hafiki kazi ni kununua prime time kwenye media tu na wala Kyela hatujashangaa kuondolewa UCHUKUZI na kuwekwa wizara boya

mwaka huu aende kugombea ama Temeke,au Mwanza au Dodoma ndipo alipo peleka projects zake!Kyela tumeisha mkataa toka uchaguzi uliopita!

Jaribu ku critical thinking
 
wananchi wa jimbo la kyela tulipata faraja kubwa baada ya kukabidhiwa wizara hii, umeshindwa kuiga kwa mawaziri wenzio,

Kwamba ilikuwaje,ajenge "bandari" Kyela au ahamishie ofisi za Wizara huko
 
Me wizara hizo nyingine siwezi sema mengi lakini hii ya mwakyembe ,nadhani kuna hira ba uvundo ndani yake yaaani kuna vitu mwakyembe haendani na kikwete yeye kama yeye au nawashauri wake wa karbu na pengine wakiwa wanahofia baadhi ya vitu,ukumbuke sita alitupwa huko EAC,baada ya kuwa anaikosoa sana safu ya uongozi wa juu na hasa reaction alizoonesha baada ta kukosa uspeaker.
Sasa basi makyembe amekuwa amejizolea umaarufu na alikuwa amepambana na uozo ulikuwa umejificha hko bandarini na kna watu hadi leo wanapga makofi na yamkini watardushwa tena kwani mwakyembe katoka!!!

mi spati picha unamtoa mwakyembe kweli maamuz ya hekima hayo?hata kidogo na wala sishangai najua kuna sehem mwakyembe kagusa pwani ukweli alikuwa serious na heshima ilianza kuonekana huyu mzee wa kaya kwa kuchemka tu mbona phd anayo.
 
mwakyembe hakuna kitu anachoweza kujisifia ameshindwa kufufua atcl,reli imekuwa hoi bandari mkurugenzi mkuu amekuwa na nguvu kushinda wajumbe wa bodi kwa kifupi ameshindwa
 
Kama huijui Kyela nyamaza tafadhali
Kyela tuna bandari HAJAWAHI igusa hata kwa miundo mbinu kila siku tunaona anaimarisha bandai ya Dar,Mwanza na Tanga
Kyela tuna meli chakavu zinazo zima katikati ya ziwa kila siku lkn ni Mwakyembe aliyeipa Mwanza hela za meli mpya!

Mwakyembe ni mbunge wa hovyo hovyo kupata kutokea ktk Wilaya ya Kyela na hawezi shinda hata kura za maoni
achilia mbali kupambana na CHADEMA

Hivi wewe unaakili timamu?hivi unadhani ukipewa ofisi ya serikali unaenda kupendelea kwenu?nchi ina vipau mbele mkuu,huwezi kuanza kupeleka meli kyela ukaacha mwanza au dar kama wote wanahitaji!nyie ndomana huwa watu wanahofia kuwakabidhi nchi hata mkisoma sana kwasababu mnataka kuishi kwa kupendelewa jambo ambalo kimsingi litaiingiza nchi kwenye matatizo mazito.Meli ije kyela kufanya nini badala ya kupelekwa Mwanza au Dar kwanza?Mohamed MbelwaMohamed Mbelwam
 
Mwakyembe alikuwa waziri wa Tanzania au Kyela? Mlaumu Mwakyembe kwa ubunge wake na sio uwaziri wake. Kwanza ni makosa makubwa ya kiongozi wa kitaifa kama waziri kupendeelea kwake just because ni nyumbani bila kufata utaratibu.
 
Kushinda uchaguzi Mwakyembe Kyela "nialu emele lugili"
Huyu ni mzushi tu na mpiga porojo

Loli alinamjwego fijho, ngimba aka mundu.
jitahidini msimamishe chadema nao wajaribu kwa mtazamo wangu. maana hawa wanaokuja kwa kutanguliza wapambe ndio style hzi hiz
 
Mwakyembe alikuwa waziri wa Tanzania au Kyela? Mlaumu Mwakyembe kwa ubunge wake na sio uwaziri wake. Kwanza ni makosa makubwa ya kiongozi wa kitaifa kama waziri kupendeelea kwake just because ni nyumbani bila kufata utaratibu.

Mleta mada ana ujasiri wa ajabu sana kuleta mada kama hii public.ni hatari sana kustimulate waziri apendelee kwao,yani waziri asipeleke meli iliyoahidiwa na mhe.Rais/chama wakati wa kampeni ila aipeleke kyela kwao?
 
Mkuu

pixel 23:58 Today
Mleta mada ana ujasiri wa ajabu sana kuleta mada
kama hii public.ni hatari sana kustimulate waziri
apendelee kwao,yani waziri asipeleke meli
iliyoahidiwa na mhe.Rais/chama wakati wa
kampeni ila aipeleke kyela kwao?

Yaani ungejua jimboni kwake ambako ni kwetu kulivyo wala hata usingemponda mleta maada...ndugu yangu hali ni mbaya sana...baada ya kupata dhoruba ile iliyompelekea kuugua...aliwahi ahidi (NASIKIA) kuwa jk akimchagua uwaziri hata kubali tena..kumbe ilikuwa ahadi ya buree...tu!! sasa hilo ni tisa...

Matatizo tuliyokuwa nayo miaka ya 1995 mpaka leo yapo umeme maeneo ya mabunga, kisale mpaka leo kimya lakini alituahidi mda mrefu ssaaaaana, huduma za jamii bado hatuna kwa hiyo

mtoa maada hajakosea kabisa kuleta maada hii hapa..

pia tukumbuke kuwa wanainchi tunataka mabadiliko saaa hivi...kwa hiyo tunamkaribisha 2015 aje kupumzika huku mabhunga kisale...baada ya kulitumikia taifa huko.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni balaa nyingine maana pale bandarini siamini kama kuna kitakachoendelea zaidi ya kurudi kule kule tulikotoka ,,Jaman watanzania tunaelekea wap? Mchapa kazi kama huyu tunampeleka huko kwenye ushirikianao afrika mashariki kwa manufaa gani bora kuliko sekta yetu ya uchukuzi? Ndio tusahau tena mpango wa matren yetu kurudi kwenye hali yake ya ufanisi pia na hata hizi za pugu tazara nk
 
mim nina mtazamo tofauti kidogo naona jakaya amefanya mahamuzi sahihi,sababu kule afrca masharik kuna makubaliano mengi tutayofanya hasa ya mambo hayo ya uchukuzi na mambo mengine ,nadhani mwakyembe amefanya mazuri hapa ndani,kule afrca mashariki panahitaji mtu chakarmu like mwakyembe.welldone mr kikwete.

Ww ---- tu hanalolote mr jk
 
Mwakyembe siasa kaanzia huko aliko sasa kama legislator wetu wakiwa na kinana....

Nongwa za nini kurudishwa huko.?
 
Mwakyembe alienda Marekani na kutia saini ya makubaliano ili kuleta reli ya uwanja wa ndege wa Dar es Salaam. Muwekezaji aliyehusika inadaiwa ni tapeli anayefahamika duniani. Ndugu Shumake. Ni vizuri wamemuhamisha kuepusha hili dili lisiendelee.
 
Hata mimi nimejaribu kuliangalia hili,nimeona kama kuna kupotezeana vile!!!!

Hivi umtoe Mwakyembe wizara ya uchukuzi halafu umlete msanii wa bongo muvi Sitta!!?


Huku si kuwatania watanzania!!?

Kumbe sitta huwa anaigiza na akina wolper,na ray
 
Wanajitahidi sana kumpoteza kisiasa!!!, sijui wanamhofia nini!?!!!
Wanampoteza vipi? Ni katika utawala wa JK ndipo Mwakyembe aliacha kuwa mbunge tu na kuanza kuhudumu kama naibu waziri na hatimae waziri! Sasa kama lengo ilikuwa ni kumpoteza, alikuwa na haja gani ya kumteua naibu waziri na hatimae waziri? Tatizo watu mnaichukulia poa Wizara ya EA lakini ile wizara inatakiwa kuwa na watu strong kama Mwakyembe kwavile tumezungukukwa na nchi manyang'au ambao huwa wanataka kusukuma agenda zao! Na kosa atakalofanya rais ajae 2015 ni kuichukulia poa hii wizara na kuweka waziri yoyote... ikitokea hivyo, jua tumekwisha.
 
Back
Top Bottom