Ulitaka afanye nini kwa uwaziri wake?
Mbombo ngafu!
Me wizara hizo nyingine siwezi sema mengi lakini hii ya mwakyembe ,nadhani kuna hira ba uvundo ndani yake yaaani kuna vitu mwakyembe haendani na kikwete yeye kama yeye au nawashauri wake wa karbu na pengine wakiwa wanahofia baadhi ya vitu,ukumbuke sita alitupwa huko EAC,baada ya kuwa anaikosoa sana safu ya uongozi wa juu na hasa reaction alizoonesha baada ta kukosa uspeaker.
Sasa basi makyembe amekuwa amejizolea umaarufu na alikuwa amepambana na uozo ulikuwa umejificha hko bandarini na kna watu hadi leo wanapga makofi na yamkini watardushwa tena kwani mwakyembe katoka!!!
Hata mimi nimejaribu kuliangalia hili,nimeona kama kuna kupotezeana vile!!!!
Hivi umtoe Mwakyembe wizara ya uchukuzi halafu umlete msanii wa bongo muvi Sitta!!?
Huku si kuwatania watanzania!!?
Ulitaka afanye nini kwa uwaziri wake?
mim nina mtazamo tofauti kidogo naona jakaya amefanya mahamuzi sahihi,sababu kule afrca masharik kuna makubaliano mengi tutayofanya hasa ya mambo hayo ya uchukuzi na mambo mengine ,nadhani mwakyembe amefanya mazuri hapa ndani,kule afrca mashariki panahitaji mtu chakarmu like mwakyembe.welldone mr kikwete.
Hivi JK unataka tukukumbuke kwa lipi?? Mnona kila kitu unafanya kwa mapenzo yako binafsi badala ya kuangalia wananchi wako??? .
Ulitaka afanye nini kwa uwaziri wake?
Nafikiri jamaa alitaka apelekewe reli kyela
mim nina mtazamo tofauti kidogo naona jakaya amefanya mahamuzi sahihi,sababu kule afrca masharik kuna makubaliano mengi tutayofanya hasa ya mambo hayo ya uchukuzi na mambo mengine ,nadhani mwakyembe amefanya mazuri hapa ndani,kule afrca mashariki panahitaji mtu chakarmu like mwakyembe.welldone mr kikwete.
Nafikiri jamaa alitaka apelekewe reli kyela
wananchi wa jimbo la kyela tulipata faraja kubwa baada ya kukabidhiwa wizara hii, umeshindwa kuiga kwa mawaziri wenzio,