Kikwete siyo safi! - yes I said it!

Kweli nchi hii imechosha sana.......
Serikali gani kila kiongozi anatoa tamko lake kuhusu jambo fulani
-katiba...celina kombani ya kwake, werema ya kwake na kikwete ya kwake
-mauaji ya ccm,kikwete na polisi arusha......chatanda ya kwake, nahodha ya kwake, mwema ya kwake, makamba ya kwake,

tunishi kwa majaliwa tu sio kwamba tunaishi kwa sababu tuna kiondozi........omwe la uongozi tz ni kubwa
 
Tuletee hii mwanakijiji kwenye mwanahalisi jumatano ili watz waendelee kupata elimu.......hata tunisia na ivory coast na kwingineka mambo yalianza hivihvi kwani watawala walijisahau kwa kuamini kuwa watu wanaowaongoza badfo ni mbumbumbu....tumeamka na hizi habari tunazipeleka moja kwa moja kwa ndugu zetu ili wajue nchi yao inavyotafunwa....
---mimi nimedhamiria na kila wiki lazima nimtumie mzee wangu magazeti ya mwanahalisi na raia mwema na mwananchi ili ajue nchi inavyo endeshwa na kisha tunapiga story kuhusu mustakabali wetu km familia na nchi yetu kwa ujumla.....ccm wanatukana sana walioko vijijivi eti wanasema hayo mnayoyaandika kule vijijivi hawasikii.....
 
Inawezekana kabisa JK si safi, na kwa hakika katika kizazi kama chake ni nani ni msafi? Je nani anafaa kuwa mbadala wake?
Tusidanganyane katika watu wa umri ule na zaidi hatuwezi kupata mawazo mbadala. Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa kabisa ya kifikra na kisiasa.
kwa yule anaefananisha hali ya Tunisia na Pwani ya pembe anakosea sana, akiyajua vema mazingira ya nchi hizo mbili upo utofuti na hapa kwetu! Kule wabunge na madiwani wa vyama tofauti walikuwa hawashirikiani kwenye kufisidi nchi, hapa kwetu wanashirikiana kwenye kufisidi, angalieni wanavyogawana viwanja na posho. Wanakuja pingana hadharani wakati wa chaguzi, Tunisia haikuwa hivyo hakukuwa na unafiki wa kisiasa kama ilivyo hapa kwetu, sijui kama itafikia hali ile!!! Nasema sijui kwa maana ya Watanzania wenyewe na hao tunaowaita viongozi wa vyama vya upinzani!!! Sijui.....

Tunahitaji VIONGOZI WAPYA WENYE FIKRA MPYA. HATUHITAJI PROPAGANDA NA SIASA ZA CHUKI.
 
Mbona sikuelewi Ndugu Mwanakijiji !!!! Imekuwaje ukamgeuka braza leo au pesa ya kampeni alikurusha, anyway sijaona jipya kwenye hiyo thread zaidi ya marudio...
 
nilisoma hii article wakati ilivyotoka na kinachotokea katika CCM sasa hivi inaweza kwa hakika kuwa ushahidi wa kutokuwepo kiongozi pale juu, hatari ni kuwa hiki ndio chama kinachoamua mustakabli wetu na matokeo ya maamuzi tumeona Arusha (na Mbeya???). Pia huyu jamaa anajijua uwezo wake unapofikia na ndiyo maana alikataa kuhudhuria MDAHARO WA WAGOMBEA URAIS 2010. Kwa vile hakuna aliyechagua kuzaliwa TZ ni juu yetu kufanya tuezalo kupata ushindi kwenye hari hi
 
Mwisho wao umefika .harudi mtu nyuma safari hii.ndio maana tunatoa sura zetu na information zetu kwenye face boook ,haya fanyeni mnalotaka tupo zaidi ya millioni kumi.hatutawaacha kabisaa safari hii
 
Mhh,tatizo wengi wetu huku kijijini hatuyajui haya na hata tukiyajua hatuwezi kuyapembua kikubwa elimu inahitajika sana.
 
Sijui kwanini tunazungushana na kudai watu wote walioatajwa kwenye orodha ya Ufisadi wanastahili isipokuwa Rais Kikwete! Hata viongozi wanaotambua baadhi ya uzito wa tuhuma zilizotolewa na wanaodai kuwa zitiliwe maanani hujikuta wanajing'ata ng'ata kuhusu Rais Kikwete. Baadhi ya watu wamefikia mahali pa kulaumu kina Dr. Slaa kumuweka Kikwete katika kundi hilo kwani JK ni safi! Hata hivyo ushahidi wote uliopo unaonesha kuwa JK siyo safi na yeye ndiyo awe wa kwanza kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake!

a. Mkataba wa IPTL ulisainiwa yeye akiwa Waziri wa Nishati na Madini. Hakuna mkataba mbovu kama huo. Kushindwa kwake kutetea maslahi ya nchi akiwa
 
Huu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...
 
Huu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...

Wewe ambaye ni intelligent umearchieve nini kwenye Life kumzidi Kikwete?
 
Huu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...

kipindi IQ za watanzania zinafanyiwa utafiti bila shaka ulikuwa sample ndo maana matokeo ya IQ za wtz zipo down.
 
Huu ni ukweli Mchungu lkn UKWELI ni lazima tuuseme huyu raisi SIYOintelligent man, hili unaliona kila kuanzia maongezi yake mpaka matendo yake, ana kitu wazungu wanaita cheap politics kama shijui kushiriki misiba, kutembelea wagonjwa mahospitalini, kupeleka wagonjwa nje ya nchi, kutembelea waliopata ajali n.k wakati Kiongozi Intelligent hapaswi kufanya hayo mambo bali kwa mfano kama watu wanakufa na ajali brni anapaswa kuchukua hatua za mara moja ili kupunguza vifo visivyo vya lazima, badala ya kusafirisha wagonjwa nje ya nchi anapaswa kutumia hizo fedha kuleta hiyo huduma hapa nyumbani...

si ana degree huyu?nashangaa sana aliposimama na Zuma ambaye ni darasa la saba lakini Zuma akaoneka more educated,labda tuangalia kama kuna za elimu ya nchi hii
 
Back
Top Bottom