The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Mtanzania unachoongea naona ni nadharia tu, kwenye topic hii na kule kwa makala ya Ngurumo.
Unajua kwa nini CCM na JK wake walishinda kwa kishindo? JK ni sifa zake binafsi: handsome boy and easy-going. CCM inatumia mtandao wa dola uliopo nchi nzima kwa faida yake. Pia usisahau wananchi wanavyoiogopa dola. Wamesahau au hawajui kama dola inatakiwa iwatumikie wao (owner of an organisation vs manager of the organisation).
Wenye nchi wana nguvu kubwa mikononi mwao ila hawajui kuitumia ipasavyo. Nguvu hiyo ni kura.
Uongozi ni mfano. Mimi sijui wewe unafanya nini in real life. Ila nitashangaa kama utasema manager mkuu kazini kwako ni mwizi wa kutupwa; ila ninyi subordinates ndio wachapa kazi hodari wa kupigiwa mfano.
Unajua kwa nini CCM na JK wake walishinda kwa kishindo? JK ni sifa zake binafsi: handsome boy and easy-going. CCM inatumia mtandao wa dola uliopo nchi nzima kwa faida yake. Pia usisahau wananchi wanavyoiogopa dola. Wamesahau au hawajui kama dola inatakiwa iwatumikie wao (owner of an organisation vs manager of the organisation).
Wenye nchi wana nguvu kubwa mikononi mwao ila hawajui kuitumia ipasavyo. Nguvu hiyo ni kura.
Uongozi ni mfano. Mimi sijui wewe unafanya nini in real life. Ila nitashangaa kama utasema manager mkuu kazini kwako ni mwizi wa kutupwa; ila ninyi subordinates ndio wachapa kazi hodari wa kupigiwa mfano.