Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,186
- 39,521
- Thread starter
- #21
Unapokaa mahali kusikiliza hadithi za Pwagu na Pwaguzi usitegemee utapata kitu chochote cha maana, katika uzi huu mleta mada ni Pwagu, waonamuunga mkono ni mapwaguzi.
Ndugu umeelewa topic?
Unajua lengo la uzi ni nini? hapa yanahitajika majibu au sentensi za kuungwa mkono?
au nawewe upo ktk kundi la jiwe?