googlel2015
Member
- Aug 25, 2015
- 18
- 4
Watz kwakudhalauliana hatujambo anayemwita rais wake jiwe yeye hata uwenyekiti wa ukoo hana.!
Kaka kweli wewe ndio stone kabisa even ujumbe haujauelewa au.
Watz kwakudhalauliana hatujambo anayemwita rais wake jiwe yeye hata uwenyekiti wa ukoo hana.!
Unapokaa mahali kusikiliza hadithi za Pwagu na Pwaguzi usitegemee utapata kitu chochote cha maana, katika uzi huu mleta mada ni Pwagu, waonamuunga mkono ni mapwaguzi.
Nijuavyo huwezi kuhangaika na mtu ambaye humwelewi...
kama ndivyo kwanini CCM haimwachi Sumaye midomoni mwake?
Kwanini kutwa ni kupanga mbinu za kumnyamazisha?
Kwanini mnawaangukia wale mliowapuuza ili wapambane na Sumaye?
Kama hujamwelewa mtu unahangaika naye wanini??
Watz kwakudhalauliana hatujambo anayemwita rais wake jiwe yeye hata uwenyekiti wa ukoo hana.!
Nimesikia kuwa mnywa gongo a.k.a Mzee wa Chandimu Mama yake kampiga biti.
CCM hawawezi kuangahika na mtu ambaye kichwani hana kitu. Wanachokifanya CCM ni siasa!
CCM hawawezi kuangahika na mtu ambaye kichwani hana kitu. Wanachokifanya CCM ni siasa!
Haha eti bosi wao kipara aliingia 5 bora akaachwa Pinda na Bilal!!!
Sasa ndo tunaona kichwa cha kipara ktk ubora wake!!
.currently CCM, chama langu kongwe ni BUSARA-less na CALCULATIONS-less. Walipomkata EL hawaku- calculate madhara (side effects), hawakutumia busara kumdhibiti. Sasa wamepigwa ngumi ndo wanajikinga, sijui hadi mwisho wa mpambano watakuwa wamedundwa ngapi? amkeni men.. acheni kuongea MIPASHO badala ya FACTS hizi kauri za chandimu, wapumbavu, malofa, wataisoma namba zinawaponza tu. CCM siyo ile ile kama wanvyoimba wasanii wa TOT something is wrong somewhere
pia ni msafiriyule ni stone capturing capacity, na hawezi akamwelewa sumaye.
Hata kama atakua jiwe basi ni yale mawe ya udongo.Tena bora jiwe kamuonea huruma jiwe lina afadhali kuliko huyo mwenyekiti wenu
Yani hadi sumaye ni lulu kwa UKAWA? Kweli mmeishiwa
Siasa gani za kununua wale waliowaita viwanda vya uongo?
Siasa gani za kutuhumu hadharani jinai bila kuchukua hatua??
Nimekuuliza kama CCM haijamwelewa Sumaye kwanini hakauki midomoni mwao?
Ona sasa, tatizo una ongelea nyuma ya spika. Huyu anaijua CCM kuliko wewe uliyeko Gezaulole. Alisha waambia kwamba, umuhimu wake mtauona siku akiwa nje ya CCM.Yani hadi sumaye ni lulu kwa UKAWA? Kweli mmeishiwa
Hivi yule mnywa gongo Makongoro kaishia wapi,maana nasubiri nione ile chandimu yake aliyosema ataicheza. Na Bwana Lodilofa pia kaishia wapi?