Kikwete, sasa umemwelewa Sumaye?

hahahaha hata hii uliondika sijui kama imeeleweka badili mbinu tusiamini eti wakirudia kusoma ndo wataelewa.
 
Natumaini kampeni tutafungia Jangwani, siku hiyo Sumaye ndiye atakae ongea mwanzo mwisho na kisha kwa dk chache sana EL atamalizia ya RICHMOND na kuipeleka rasmi CCM kuzimu kwa baba yake Lucifer.

Daaah,tukifungia Jangwani itakuwa raha sana maana ule ufunguzi tu ulikuwa burudani tupu.
 


Nashukuru umesaidia kuelewesha somo!!

Dalili za tawala nyingi kuanguka ni pale watawala wanapopigwa upofu wasielewe na kuona hali halisi mpaka pale wataposhindwa!!

Siamini JK aliposema wanaunganisha picha ni kwamba hakujua au alipigwa upofu?
 
Daaah,tukifungia Jangwani itakuwa raha sana maana ule ufunguzi tu ulikuwa burudani tupu.
Mkuu, pale ndipo tukapofanyia mazishi ya CCM, watanzania waliipenda CCM lakini Mungu kaipenda zaidi.
R.I.P CCM!
 
Wanachokifanya CCM ni siasa! Ikiwa huijui michezo ya siasa basi kuwa mpole ni busara kutoendelea kuhoji kwanini CCM wanamtajataja Sumaye?


Wewe ni wale wanaohitaji nguvu kubwa na muda wa ziada kuwafundisha waelewe...

Kwa sasa naendelea na walioelewa.... Panapo muda wa ziada NTAKUREJEA
 
Sumaye anaeleweka kwa wenye akili za kufikiria nje ya boksi! Hawezi kumwelewa,kwa nini,kwa sababu,kasoma uchumi chuo kikuu,bado haielewi kwa nini Tz ni maskini,Kawa rais kwa miaka 10 bado hajui kwa nini Tz ni maskini. Hawezi kumwelewa Sumaye
 
Sumaye anaeleweka kwa wenye akili za kufikiria nje ya boksi! Hawezi kumwelewa,kwa nini,kwa sababu,kasoma uchumi chuo kikuu,bado haielewi kwa nini Tz ni maskini,Kawa rais kwa miaka 10 bado hajui kwa nini Tz ni maskini. Hawezi kumwelewa Sumaye


Nakumbuka falme nyingi zilizoanguka zilishindwa kuelewa alama za nyakati...
 
Fastjet haelewagi
CCM ni shida. Hawana kitu vichwani. Mh.Rais hajui kwa nini watu wake maskini wakati kuna kila kitu. Ngumu sana kumuelewa graduate wa Harvard university.
Na mgombea wao naye kituko. Jamaa anapenda kuangalizia vya wenzake. Eti M4C kaifanya yake. Ph.D haitendei haki. Wanataaluma wa UDSM jaribuni kukaa tena,nina wasiwasi na JPM.
 
Nakumbuka timu yao ilipotangazwa mbwembwe zilikua nyingi...

Wakashindwa soma upepo na alama za nyakati...

Nasikia wengi wamechoka... wamekata tamaa kabla adui hajabadili mbinu za pambano...

CHANDIMU anaicheza na Maria sasa...

Na mbaya zaidi hicho Chandimu anakichezea pale Butiama kwa Chief Burito kabisa. Hivi ile Team ya Campaign tuliyotangaziwa kwa mbwe mbwe kabisa mbona siisikii kila siku namsikia Bulembo?
 
Na mbaya zaidi hicho Chandimu anakichezea pale Butiama kwa Chief Burito kabisa. Hivi ile Team ya Campaign tuliyotangaziwa kwa mbwe mbwe kabisa mbona siisikii kila siku namsikia Bulembo?


Wengi wamepoteza mvuto!!!

Awali walidhani wataweza kirahisi... ikawa hovyo mpaka wakamwingiza Slaa nayo imechuja...

Chandimu wanachezeshwa wenyewe.
 

Baba mwanaAsha mpaka leo analalamika kuwa anaonewa

Hata issue ya Sumaye anaona kama conspiracy fulani hivi

but taratibu ameanza kuona light ndio maana kawa mpole sana siku hizu
 
Na hawa waliopo centre ya Masaki ndio wana ongoza kwa kumlisha JK matango pori, mala wamwambie picha za mafuriko zimeunganishwa na uwongo mwingi tu usio na tija.


Nasikia kuna siku waligoma posho ilichelewa...

Halafu ndo akili zile kweli zipambane na EL na UKAWA?
 
Baba mwanaAsha mpaka leo analalamika kuwa anaonewa

Hata issue ya Sumaye anaona kama conspiracy fulani hivi

but taratibu ameanza kuona light ndio maana kawa mpole sana siku hizu


Zile kauli za moto wa mabua sizisikii tena zaidi ya "hali ya uchaguzi ni ngumu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…