Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
St Thomas aliitangaza Nyerere mwenyewe wakati anatuaga pale DIA
Aliamua kututangazia maana hakutaka tudanganywe wala kufichwa kama sasa.
St Thomas aliitangaza Nyerere mwenyewe wakati anatuaga pale DIA
Na namba 1 naskia anaandika kitabu chake
Mkuu wewe ni mmoja ya watu wenye mawazo yaliyochekechwa hapa jamvini? Hizi ni ''tetesi za uhakika'' au ni ''tetesi zisizo na uhakika''?Kama vigogo wanaondoka hivi na tunafichwa, inawezekana Ubalozi wa Marekani uko sahihi.
Wapiga kura tuta pata tabu sana.
Na kweli bado! Bado mimi na wewe na wengine wote wanaopumua. How ironic!!
Hahaha nimeuliza tu! Mimi kitabu siandiki, naona kila anayeandika kitabu anatangulia, Baba JK usiandike kitabuElli unakera watu humu tokaaa peeppooo
Kwamba anafwatia namba 5Kuna Mwana JF kasema sijui witiri sijui 1,3 na 5.
Naomba mnieleweshe
Kwakweli asiandikeHahaha nimeuliza tu! Mimi kitabu siandiki, naona kila anayeandika kitabu anatangulia, Baba JK usiandike kitabu
Jamani tupo ktk kipindi cha maombolezo.Wewe unaitaka hospitali ya nini?!
Mzee Kikwete ndio amezidi kuongeza Sintofahamu!!!!Rais Kikwete leo amefika kwenye makazi ya Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Marehemu Benjamini Mkapa, pamoja na mambo mengine amezungumzia kumtembelea Mkapa jana hospitali wakati anaumwa.
Kikwete: Jana jioni nilikwenda kumuona hospitali, tulizungumza sana. Alikuwa na maumivu lakini siyo yale ambayo ukitoka kumuangalia mgonjwa unawaambia nimemuona mgonjwa lakini. Ni maumivu ya kawaida, tumezungumza sana karibu saa nzima nimekaa pale, tumezungumza mambo mengi kwa hiyo usiku nilipopata taarifa kwamba mzee amefariki, nikauliza kimetokea nini tena?
Kwa sababu hakua mgonjwa ambae unaweza kusema unatia shaka na nimeondoka nikimuaga nitakuja kukuona tena kesho lakini sikuombei uendelee kukaa tena hospitali, natamani nije nikusalimie nyumbani naye akasema nadhani niko vizuri. Kifo ni siri kubwa maana ungekuwa unajua basi unaweza kusema unaagana kabisa, tulizungumza tukipatana tutakutana tena tuendelee tena na mazungumzo.
Suala kubwa ni kwamba tumepoteza moja ya kiongozi mashuhuri, mtu ambae alilitumikia taifa letu vizuri kwa heshima kubwa kwa uadilifu mkubwa na kwa moyo wa upendo, la kuomba kwa watanzania katika kipindi hiki ni kuendelea kuomboleza kuwa na moyo wa ustamilivu, subra, kukubali kifo kimeumbwa na Mwenyezi Mungu, kila mmoja ndio njia yake, sisi Waislamu tunavyosema Inna Lilahi wa Inna Ilahi Rajiun maana yake sote ni waja wake, na kwake tutarejea. Tutarejea lini ni siri yake Bwana mkubwa alietuleta.
Sijaelewa badoMkuu nilipoelewa nimecheka sana, watu mna maneno duh.
Alisema upumuaji umekimbia tanzania,sasa umepiga mahala penyewe ndio fundisho watu wajue koona ipo sanaKwa kweli na hata jinsi Meko katangaza hiki kifo aisee sijui lakini hakika duuu
Kama mzigo ni kenda basi ni hatari maana chain ni ndefu.Kuna Mwana JF kasema sijui witiri sijui 1,3 na 5.
Naomba mnieleweshe
Hahhaaa....Kuna namba tasa na shufwa na witiri..jiongezdSijaelewa bado
vipi huyu naye alikandamiza uislamu?zanzibari leo misikitini kumejaa sana tunamsindikiza mfitini wetu kwa duwa mujarabu.
Wameandika wangapi wakafa?Hahaha nimeuliza tu! Mimi kitabu siandiki, naona kila anayeandika kitabu anatangulia, Baba JK usiandike kitabu
Atakoma! Amtafute shehe wake mpenda wali na mialiko wafarijiane wakale ubwabwa msibani. Such a stupid and opportunist couple._Makonda anateseka akifika msibani anakaa upande wa pili tunapokaaga sisi wakati angekuwepo meza kuu na mkuu wa nchi na ndio angekuwa kati ya wanaokaribisha wageni mbalimbali kutoka nchi mbalimbali uku akiwa kwenye ulinzi mkubwa na msafara wa magari ya ikulu_
Maisha .... Haya 🤔
Tunywe bia🍻🍻🍻🤣🤣🔥
Uki soma comments za mazwazwa wa CCM ndiyo utajua kwa nini wanaitwa mataahira.Ukisoma comment za wajinga wa chadema humu ndio utajua kwanini wakaitwa misukule
Waafrika huwa hatusimangani vilioni_Makonda anateseka akifika msibani anakaa upande wa pili tunapokaaga sisi wakati angekuwepo meza kuu na mkuu wa nchi na ndio angekuwa kati ya wanaokaribisha wageni mbalimbali kutoka nchi mbalimbali uku akiwa kwenye ulinzi mkubwa na msafara wa magari ya ikulu_
Maisha .... Haya
Tunywe bia
depotivo ndo nani?Eti anamuogopa jiwe.
Nasubiri majibu yake (depotivo)