Kikwete ni mmoja ya Marais ambao miaka Ijayo watoto wetu watatushangaa sana kuwa ilikuaje....

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
1,694
3,982
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana. Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana. Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini. Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.

Kikwete ni adui wa wananchi wanaojitambua!!!

Na huyu ndiye mentor wa Rais aliye madarakani hivyo atajitahidi kurudia ufisadi alioufanya wakati wa utawala wake vis a vis Katiba Mpya!!!
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana. Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana. Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini. Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Mkuu kama upo kitengo jipimie tu, poza maumivu kwa mtindo huo
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Deep state walizuia mchakato wa katiba mpya
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Chama cha Mazezeta, chanzo cha matatizo walitupa kwa nguvu, jeshi ni lao, na mamlaka, na utukufu na uweza, tungefanyeje?
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
bilioni ngapi?,mchakato ulivurugwa na ukawa,,,hats mchakato ujao cdm watavuruga
 
Yaani watatushangaa kizazi kijacho cha 2050- 2075 huko. Watasoma historia. Wkt huo sisi hatutakuwepo hapa duniani. Waliopiga na tuliopigwa aiseee
 
Yaani akatumia pesa za wananchi maskini kukusanya maoni ya katiba. Yakapatikana.

Akatumia mabilioni ya pesa za Maskini kuliitisha Bunge la Katiba....likakaa...wakalipana mapesa mengi.

Kisha akavuruga mchakato. Akakaa pembeni akicheka mchezo aliofanya....watanzania ni wasahaulifu sana.

Leo wameshasahau kabisa ufisadi huo mkubwa wa Kikwete. Wamesahau kabisa.

Huwa nikikumbuka naumia sana akilini. Kwa nini awatendee hivi watanzania hawa maskini.

Leo kuna watu wengine tena wanaenda kulipwa kwa ajili ya Tume ya Uchaguzi.... Wanalipa pesa hizi hizi za watanzania maskini.
Ni pole yetu sote mkuu.

Hakuna mtu mwenye akili timamu, ambaye hakuwa mnufaika wa moja kwa moja na uhujumu huo asiyeumia, kama unavyoumia wewe.

Hawa ndio viongozi wetu, wanaojuwa kwamba hata wakiharibu hakuna mtu yeyote wa kuwauliza, hata wakishamaliza ngwe zao za uongozi.

Hawa wanajengewa mahekalu, kama shukrani za kuwaumiza waTanzania maskini! Hakuna mTanzania hata mmoja anyeweza kuhoji!

Sasa wanatuzungushazungusha tu akili, wakituhadaa juu ya katiba hiyo hiyo. Si bora tuingie gharama zaidi, mradi tu tupate sheria zinazowabana hawa watu wasiendelee kututia hasara kama ile uliyoandika juu yake?

Ni bora mara dufu kuingia gharama tena, kama matokeo ya gharama hiyo itasaidia kuondoa hawa watu wasiojali kabisa maumivu ya waTanzania wenzao.

Ambacho hukukieleza katika mada yako ni kwamba, wengi wa viongozi tulionao kwenye uongozi leo hii ni zao la mchakato huo huo wa Katiba, mchakato ulioleta gharama kubwa kwa waTanzania. Bila ya mchakato huo, pengine Maza Mizinguo leo hii tusingekuwa tunamfahamu. Akina Popole na wengineo, ni matokeo ya mchakato huo huo mbovu.
Kwa hiyo, kwa hawa viongozi tulio nao, mzigo wa gharama kwetu, ndiyo ikawa nafuu kwao.
 
Back
Top Bottom