shabani malima
Member
- Jun 13, 2013
- 21
- 1
Jamani mnajipigia jita wenyewe na kucheza wenyewe pinda ndio chaguo sahihi kwa watanzania
Hakuna kinachoshindikana chini ya jua kwenye utawala wa Kikwete - Hata FaizaFoxy anaweza kuteuliwa kua balozi wa Tanzania nyumba 10/10 nchini China!
Utakaa sana na usisubiri kuhadithiwa kua hili tukio ni Photo shop - hembu ingia hapa halafu ukisharizika niandalie Tusker 2 bariiiiidPHOTO SHOP nzuri imesimama manake kama walio wengi wameipitisha ni kweli basi lengo limetimia sometimes ukiona respond ya jamii ndio kama hivi basi HURUMA dhidi yao UNAWEKA KANDO tembeza bakora ya kichapo mpaka pale kitakapo ibuka kizazi chenye ufahamu faster.
Ni protocol ipi iliyoandaa kiti pembeni ya Raisi akae pembeni na Lowassa? - Kumbuka ule usemi wa Lowassa MIMI NA KIKWETE HATUJAKUTANA BARABARANI!
![]()
Ni protocol ipi iliyoandaa kiti pembeni ya Raisi akae pembeni na Lowassa? - Kumbuka ule usemi wa Lowassa MIMI NA KIKWETE HATUJAKUTANA BARABARANI!
![]()
Nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?
Utakaa sana na usisubiri kuhadithiwa kua hili tukio ni Photo shop - hembu ingia hapa halafu ukisharizika niandalie Tusker 2 bariiiiid
MICHUZI BLOG: Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana jijini Dar leo
Nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?
EL Hana miguu kwa sababu yuko mstari wa nyuma. Kuna mtu aliwekewa kiti Kati ya JK na Mwamunyange na hukutokea hivyo kufanya picha ya EL kuonekana kana kwamba alikuwa sambamba na JK.Nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?
Kama utakumbuka,mwaka jana katika sherehe hizi kama sikosei,JK hakumpa mkono Lowassa yaani alimruka wakati anasalimia wageni jukwaani na kuibua maneno mengi hivyo naona leo kaamua kuwajibu wote waliohoji kitendo kile.
Hata hivyo,Lowassa yuko mstari wa nyuma na Mwanyange ndio amesimama kwenye line moja na JK.
Hii kitu niliona tangu mchana kwenye tv na nikataka kuanzisha uzi kuhusu huo muonekano ila nilihofu uzi wangu ungeunganishwa na uzi uliokuwa unaelezea sherehe hizo.
Nilikua namtafuta Mtu anaitwa William LUKUVI katika Jamii Forum lakini namshukuru Mungu nimekupata - Stay Tune!Mie sina tatizo na concept nzima,uenda mwandaaji ana maana yake na ndio maana kama MwanaGT nikasema kama wale baadhi yetu humu wanajiita MAGT na kwa concept hiyo walio wengi wamekubali basi wazo lake llimefanikiwa. Tatizo ni watu wa aina yako eti nawe unajiita GT aaahaa aibu utetezi gani huo sasa!!Mbwembwe nyingiiii zisizo na maana.
Hivi ITIFAKI [Protocol] ya Viongozi Ikoje Nani Wa Kwanza Kuingia na Nani Wa Mwisho Kuingia, Kwenye Maadhimisho kama hayo Nani anapaswa kuwa Mkono wa Kulia Wa Mkuu Wa Majeshi!!!!
Katika akili ndogo sana tu siku ukiona Maafisa Wa Kijeshi wawili wanatembea pamoja ALIYE MKONO WA KULIA WA MWENZIE tambua huyo ni SENIOR OFFICER kwa mwenzie walie pamoja.
Sembuse AMIRI JESHI MKUU....wa VIKOSI VYOTE VYA ULINZI....aibu sana sana kuwa na GT wa aina yako...ila ata mimi najifunza pia kuwa kumbe wanafanya haya kwa kuwa tuna hopeless minds nyingi sana...na nitatizo kwa mustakabali kwa TAIFA.
watu wanapenda kutengeza vitu kwa maslahi wanayoyataka wao na watengeneze habariNilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo
Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?[/QUOTE kweli mzee picha hiyo haina miguu. Itakuwa imepachikwa.
pinga hoja yangu kwa kielelezo chako au kupitia picha hiyo hiyo, la sivyo kanga umevaa wewehapo ulipo umejifunga kanga kiunoni unakuna nazi maana wewe ni mmbeya
pinga hoja kwa hoja na wala si matusiUna mambo ya kimaku sana wewe
asante sana Mtumpole jamaa wanataka kunitoa roho - EL amefanywa kupachikwa hapo kati - wakati yeye yupo benchi kwa akina Msuya - angalia hapo kwa Mwamnyange mamvi yanatokea