Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,162
- 162,594
Bila shaka hii picha itakupa majibu ya maswali uliyo kua nayo kichwani mwako.....yetu macho na masikio kuelekea octoba 2015.
Kama utakumbuka,mwaka jana katika sherehe hizi kama sikosei,JK hakumpa mkono Lowassa yaani alimruka wakati anasalimia wageni jukwaani na kuibua maneno mengi hivyo naona leo kaamua kuwajibu wote waliohoji kitendo kile.
Hata hivyo,Lowassa yuko mstari wa nyuma na Mwanyange ndio amesimama kwenye line moja na JK.
Hii kitu niliona tangu mchana kwenye tv na nikataka kuanzisha uzi kuhusu huo muonekano ila nilihofu uzi wangu ungeunganishwa na uzi uliokuwa unaelezea sherehe hizo.