SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,615
- 929
Lowasa ana ugonjwa wa kutetemeka kama kameza mjusi..naona aachane na mambo ya uraisi..watanzania hatuwezi kumgharamia matibabu atakapokuwa raisi....kwani kuna kazi ya kuondoa umaskini kwa watatnzania na siyo kuja kuangaika na mtu mmoja.
Hii picha ilipangwa na Wapambe wa Lowassa....hii ni adaa kwa umma wa watanzania na itatumiaka kwenye kampeni za 2015 ndani ya CCM.
Hii picha ilipangwa na Wapambe wa Lowassa....hii ni adaa kwa umma wa watanzania na itatumiaka kwenye kampeni za 2015 ndani ya CCM.