Kikwete na Lowassa kunani tena?

Kikwete na Lowassa kunani tena?

Lowasa ana ugonjwa wa kutetemeka kama kameza mjusi..naona aachane na mambo ya uraisi..watanzania hatuwezi kumgharamia matibabu atakapokuwa raisi....kwani kuna kazi ya kuondoa umaskini kwa watatnzania na siyo kuja kuangaika na mtu mmoja.
Hii picha ilipangwa na Wapambe wa Lowassa....hii ni adaa kwa umma wa watanzania na itatumiaka kwenye kampeni za 2015 ndani ya CCM.
 
Wewe ulikaa jukwaa kuuu ndo maana hukuona. Mimi mwanzo mwisho nimeangalia luninga. Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Nilishangaa pinda kaka pembeni kabisa. Pinda alikuwa mkono wa kulia wa mama wa WAMA
ukisema ulingalia TV - utakuwa unachemsha zaidi - angalia post #130 utaona uongo wako na ukweli wangu! Kwa hali halisi nyuma ya mwamnyange hakuna nafasi ya mtu kusimama ndio Picha ya awali inavyoonyesha Kuwa EL kasimama nyuma ya Mwamnyange wakati sio kweli.
 
Duh..... na kweli, nami nimeitazama kwa makini hiyo picha, nimejitahidi kuitafuta miguu ya EL kwenye hiyo picha, lakini sijafanikiwa kuiona!

Inawezekana hiyo picha ya 'kuchonga' itakuwa 'imetengenezwa' na campaign team ya mzee wa mamvi, ili kuwapa 'matumbo ya kuharisha' wale wote waliotangaza nia ya kugombea upresidaa mwakani, kwa tiketi ya magamba.
upo sahihi mkuu Mystery - hoja inathibitishwa na post #130
 
Last edited by a moderator:
kWA KUPENDA GWARIDE NA NGOMA ZA KIENYEJI ,JANA NILITIMIA KAMA DK 50 KUANGALIA SHERHE ZA KUZALIWA KWA TANGANYIKA ! KAMA KAWAIDA WAKATI WA NGOAM VIONGOZI WALIKUWA WANAFURAHIA AUA KULZIMISHA KUONEKANA WANAFURAHIA BURUDANI HIYO ...LAKINI mH LOWASA ALAIKUWA AMETULIA KIMYA! SIKUELEWA USIRIASI HUO ULIKWA WA NINI ...LAKINI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAONEKANA ALIKUWA HAFURAHII SANA LILE TUKIO NA ALISHINDWA KABISA KUFICHA HIYO HALI ,NYIE WACHAMBUZI WA SIAS MTUMBIA TAFSIRI YA HALI HII
nadhani ndio maana wametengeneza hii picha ili hiyo furaha irudi
 
EL Hana miguu kwa sababu yuko mstari wa nyuma. Kuna mtu aliwekewa kiti Kati ya JK na Mwamunyange na hukutokea hivyo kufanya picha ya EL kuonekana kana kwamba alikuwa sambamba na JK.
angalia post # 130, hakuna protocol ya kukaa au kusimama katika mstari huo, EL alikuwa nyuma benet na Mzee Msuya
 
Lowasa ana ugonjwa wa kutetemeka kama kameza mjusi..naona aachane na mambo ya uraisi..watanzania hatuwezi kumgharamia matibabu atakapokuwa raisi....kwani kuna kazi ya kuondoa umaskini kwa watatnzania na siyo kuja kuangaika na mtu mmoja.
Hii picha ilipangwa na Wapambe wa Lowassa....hii ni adaa kwa umma wa watanzania na itatumiaka kwenye kampeni za 2015 ndani ya CCM.
Huna hoja nasikia wewe Una kifafa kinakutokea wakati wakujianda kufanya shughuli pevu za kupalilia uwele!
 
kWA KUPENDA GWARIDE NA NGOMA ZA KIENYEJI ,JANA NILITIMIA KAMA DK 50 KUANGALIA SHERHE ZA KUZALIWA KWA TANGANYIKA ! KAMA KAWAIDA WAKATI WA NGOAM VIONGOZI WALIKUWA WANAFURAHIA AUA KULZIMISHA KUONEKANA WANAFURAHIA BURUDANI HIYO ...LAKINI mH LOWASA ALAIKUWA AMETULIA KIMYA! SIKUELEWA USIRIASI HUO ULIKWA WA NINI ...LAKINI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAONEKANA ALIKUWA HAFURAHII SANA LILE TUKIO NA ALISHINDWA KABISA KUFICHA HIYO HALI ,NYIE WACHAMBUZI WA SIAS MTUMBIA TAFSIRI YA HALI HII

Tafsiri ni yeye siyo viongozi wa blabla ni kiongozi Mtendaji. Utachekaje wakati ajira ni janga la kitaifa, dhamani ya shilingi imendelea kushuka na maisha Kwa ujumla ni magumu. Hapa viongozi majini lazima atafakari kwa umakini unaostahili.
 
Aliye andikiwa kaandikiwa tu, kanywe sumu ya panya..

Or go & search JACOB ZUMA...then compare with EL..

Richmond UNAIJUA ww..!!? stop diffusing on public area....!!!

A great man, is KNOWN WHEN HE FALLS DOWN and REBOUNDS BACK TO A HIGHEST LEVEL....!!! Hapo ndio utajua tht is a man to be a LEADER...!!!

EL proved all tht beyond dought...!!!

2015 EL CCM...!!!! byee byeeee

Wewe na yeye ndio mnaijua richmond ndio maana akajiuzuru,hamuwezi kufanya "critical thinking" sababu yeye ndio anatawala nafsi zenu,mimi sikubali kutekwa akili na mwanasiasa yeyote yule, nitakaye mpigia kura atajulikana october mwakani baada ya kufuatilia sera zake shida yangu sio chama wala mwanasiasa..!! Anafurahi kuwaona mnarukaruka hata kabla ya ngoma...!!
 
Kwa picha hiyo jinsi inavyoonekana, inaonekana mzee wa mamvi na JK watakuwa 'wamecompromise' ili ampigie debe ili apeperushe tiketi ya CCM kwa nafasi ya Urais mwakani.

Hilo likitimia watanzania tutakuwa tunakumbushwa kauli iliyowahi kutolewa na EL wakati ule wa sakata ya Richmond, pale aliposema kuwa yeye na JK hawajakutana barabarani!

JK naye akamjibu mzee wa mamvi kuwa asiwe na wasiwasi kwani historia itamtendea haki na ipo siku yeye EL atakuwa 'huru' kutokana na skandali hiyo ya Richmond!
Hakuna kitu kama hicho mkuu, kwa wale waliokuwa wanafuatilia kwa luninga watakuwa wameona jinsi gani jk alikuwa anajitahidi kkumsemesha el lakini yeye ameuchuna kinoma, hata pa kuchekesha alikuwa hacheki kabisa!
 
Picha ya kutengeneza hii lowasa hakua jukwaa kuu,pia jukwaa kuu hawawez kaa kwa kubanana pia angalia picha ilivotengenezwa el hana miguu,
 
Hivi hiyo picha ni ya leo leo pale uwanja wa Taifa?

Nauliza hivyo, kwa kuwa taarifa zilizokuwa zimesambazwa mitandaoni, tuliambiwa EL, yupo Ujerumani ambako alikuwa amelazwa hospitalini, akiwa katika 'coma' baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa.

Kwa hiyo wenye taarifa 'deeper' (msamiati wa Sefue) tunaomba mtujuze.

Jamaa alichepuka wodini maramoja kuja kuuza #nyago !

Keshakwea pipa tayari kwa dozi ilobakia wodini.
 
Picha ya kutengeneza hii lowasa hakua jukwaa kuu,pia jukwaa kuu hawawez kaa kwa kubanana pia angalia picha ilivotengenezwa el hana miguu,

Duh!

wewe uko vizuri naamini kwenye "IT"

Jamaa nikilema kabisa kwenye photoshop hiyo. Nimechunguza vizuri. Kwanza ka'freej mshenzi kake hapo kamebambana na kiwiko cha uyo Jenerali hapo jambo ambalo haliingii kichwani hata kidogo.

Bravo!
 
Kabla ya sikukuu ya uhuru wa Tanganyika iliyosherehekewa kwenye viwanja vya uhuru kulikuwa na taarifa humu jamvini kuwa JK atamfanyia Lowassa kitu cha kumuenzi siku hiyo. Kwa mshangao mkubwa nikamwona Lowassa amekaa karibu kabisa na JK, nikaamini habari hiyo ya kabla ya tukio.

Pia Jumatano iliyopita, Tegambwage alitoka kiaina kama kawaida yake na habari kuwa kutowajibishwa kwa Pinda na Bunge la Jamhuri ya muungano wa TZ hakuna maana kuwa amesalimika kwa JK. Jana kumekuwa na habari nyingine kutoka kwa "mgeni" Invisible kuwa JK atafanya kitu na kuwa tusubiri Jumatatu.

Maswali ya kujiuliza, je kwa Kikwete kukaa karibu kabisa na JK katika maadhimisho ya sikukuu ya uhuru wa Tanganyika kuliashiria kuwa JK atamrudisha Lowassa kwenye uwaziri mkuu kwa vile Pinda ameshindwa kumsitiri mfalme anayoonekana kuwa uchi sababu ya kashfa ya Escrow?

Swali lingine, mtiririko wa kashfa ya Escrow ambao unaanzia kwa IPTL kama alivyoeleza Lisu, unamwachaje Lowassa pembeni hadi aonekane msafi katika kashifa hizo. Ama, liwalo na liwe kwa vile alimsitiri mfalme kwenye kashfa ya Richmond wakati Pinda na mawaziri wengine hawakuwa tayari kubeba "dhambi" ya mfalme?.
 
Hivi Tanzania Bara huwa tunasherehekea siku ya jamhuri kama Kenya?
 
hiyo cd ilisha chuja leo ni uchaguzi
Hebu pitia taarifa humu kidogo tu, imechuja wakati kuna taarifa ya Baraza jipya la mawaziri? Unajua maana yake nini? Inahusiana na mabadiliko ya waziri mkuu. Ndiyo maana watu wanajiuliza, tulionyeshwa Waziri Mkuu mtarajiwa?
 
IMG-20141220-WA0058.jpg IMG-20141221-WA0048.jpg

Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa, aliwafurahisha na kuamsha hamasa kubwa miongoni mwa wahudhuriaji na wanajeshi katika sherehe za kutunuku nishani kama vile amiri jeshi mkuu pale alipo kamata kwa ukakamavu wa hali ya juu mkono wa Rais Dk Jakaya kikwete wakati anawasili viwanjani hapo. Hakika kitendo kile kilizusha minong'ono miongoni mwa wanajeshi na kusema hakika 2015 kuna mkakamavu anaewatia moyo. Je wewe wajua haya basi piatia picha kwa umakini uone jk na Mwamunyange wakifurahia ukakamavu wa lowassa
 
Back
Top Bottom