Kikwete na Lowassa kunani tena?

Kikwete na Lowassa kunani tena?

Kwanini akamate kwa ukakamavu lengo ni kuonyesha nini?kwani siku zote anakamataje mkono wa raisi,mambo mengine mbona ya kipuuzi sasa akikamata mkono wa raisi kwa ukakamavu ndio inasaidia ama kunapunguza nini,hivi watu wakisema watu wazima mnashindwa kufikiri hata kushindwa kuandika kitu cha maana mtaona mnatukanwa? je mpo na tofauti gani na Masaburi anayesema Pinda ndie anafaa kuwa raisi bila kutupa sababu za msingi za kusema hivyo.
 
Kwanini akamate kwa ukakamavu lengo ni kuonyesha nini?kwani siku zote anakamataje mkono wa raisi,mambo mengine mbona ya kipuuzi sasa akikamata mkono wa raisi kwa ukakamavu ndio inasaidia ama kunapunguza nini,hivi watu wakisema watu wazima mnashindwa kufikiri hata kushindwa kuandika kitu cha maana mtaona mnatukanwa? je mpo na tofauti gani na Masaburi anayesema Pinda ndie anafaa kuwa raisi bila kutupa sababu za msingi za kusema hivyo.

Ni sehemu ya matukio yalio ibua hisia uwanjani na kazi ya mwandishi ni kuripoti....

Huna jipya angeambiwa Lowassa kadondoka uwanjani ingekuwa taarifa kwako
 
Kwanini akamate kwa ukakamavu lengo ni kuonyesha nini?kwani siku zote anakamataje mkono wa raisi,mambo mengine mbona ya kipuuzi sasa akikamata mkono wa raisi kwa ukakamavu ndio inasaidia ama kunapunguza nini,hivi watu wakisema watu wazima mnashindwa kufikiri hata kushindwa kuandika kitu cha maana mtaona mnatukanwa? je mpo na tofauti gani na Masaburi anayesema Pinda ndie anafaa kuwa raisi bila kutupa sababu za msingi za kusema hivyo.

Punguza povu mkuu
 
Ocampo alikuwa anataka kusikia Lowassa kadondoka ndo afurahie kuwa habari hana jipya...
 
Huyu Lowassa ananguvu za ajabu sana.....!!

Hana nguvu zozote ni ujinga tu tena hata nyumba alizonunua UK zinaweza kurudishwa kwa walipa kodi wa Tanzania. Yeye anakamua pesa baada ya kulididimiza shirika la simu Tanzania akisaidiwa na kiranja mkuu wa wizi anayelala Magogoni.
 
Mbona inaonekana mstari wa Mbele mkuu wa majeshi kufuatiwa na Raisi, halafu Raisi wa Znz , Halafu Mke wa Raisi , nyuma Yao Ndio anaonekana Lowassa na wengineo

Kwa akili ya kawaida tu, hamna protokali inayomuwezesha waziri mkuu mstaafu kukaa mstari mmoja na rais ktk shughuli za kitaifa. Hivyo EL angalau LABDA kama anaruhusiwa kukaa karibu, basi angalau mstari wa nyuma, lakini ukiangalia hiyo picha, ebu angalia kiwiko au mkono wa kulia wa Mwamnyange ulivyobanana na Kitambi cha EL. Hii picha imepachikwa, EL hakuwapo hapo anapoonekana 'yupo'. Ni kampeni tu za TeamLowassa hizi.
 
Back
Top Bottom