Karibia watu wote niliowahoji wanadai Jk hajafanya lolote la maana kama kiongozi wa nchi.
Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea, Uhuru wa media umeboreka, maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi, unaweza hata kumkosoa rais au kiongozi yeyote hadharani nk. Hayo mambo ni ya muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.
Ndiyo yaliyomng'oa Gadafi japo alifaulu sana katika nyanja ya uchumi. wadau mnasemaje?
Naomba kutoa hoja.
Mimi naona si kweli.Jk amefanikiwa sana kukuza Demokrasia kuliko watangulizi wake japo ameshindwa kukuza uchumi.Watu wana uhuru wa kuongea, Uhuru wa media umeboreka, maoni ya wapinzani yanafanyiwa kazi, unaweza hata kumkosoa rais au kiongozi yeyote hadharani nk. Hayo mambo ni ya muhimu sana kwa maendeleo ya nchi.
Ndiyo yaliyomng'oa Gadafi japo alifaulu sana katika nyanja ya uchumi. wadau mnasemaje?
Naomba kutoa hoja.