Mtu wa Asali
Senior Member
- May 9, 2022
- 152
- 291
"Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu"
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse
"Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo alikuwa ni makamu wa Hayati Rais Magufuli wana tofauti kubwa sana ni kama mbingu na mchanga, mtu yoyote mkweli ataliona hilo"
"Nina imani sana na Rais Samia na Serikali yake ya chama chake,hadi sasa naona kuna nia na dhamira njema"
Freeman Mbowe - Mwenyekiti CHADEMA #ClubHouse