Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,539
alipomnadi 2010 pale Monduli na kusema ni ajari ya kisiasa ulikuwa uko wpi?Itazame kauli hiyo kwa jicho jingine: hapo ni JK anamshtaki Lowassa kwa Magufuli. Manake leo hii CCM wanatuambia Magufuli atakapoingia madarakani basi atarekebisha yote waliyoharibu na kufanya yote yaliyowashinda kwa miaka 54!
nini maoni yako kuhusu watuhumiwa wengine?
Chenge,Tibaijuka,Ngeleja,?..hawa ni wabunge watarajiwa wa CCM(pengine ni mawaziri wake,you never know)....
CC hainania ya dhati?Pumzi imekata....wake benchi wajitafakari..