Lowassa kasema kama kuna mtu ana ushahidi kwamba yeye alihusika aende mahakamani!!! (jiulize swali je kuna mtu kaenda, je huyu mkuu wetu kaenda mahakamani???)
Kama rais alikua anajua kuwa lowassa ni muhusika kwanini hakumchukulia hatua mwaka 2008 na mpaka leo anaishia kupiga makelele tu, why anaogopa kumchukulia hatua??? nini kimejificha hapa???
Ikumbukwe kwamba mwaka 2010 kikwete alikua mstari wa mbele kusema lowassa ni mtu safi kwanini sasa anasema tena lowassa ni anahusika na richimond??? hii si ni dalili ya ukigeugeu????
Je ni wapi kama watanzania tulikosea mpaka tukapata rais kama huyu????
kwasasa hamna jinsi tena washachelewa na sisi kama watanzania tushaamua Hata wakimwita jambazi kura zetu twampa lowassa!!! in fact, ni bora mwizi mmoja aliyezungukwa na wema 10000 kuliko mwema mmoja aliyezungukwa na majambazi majizi 1000000!!! viva lowassa RAIS WETU WA JMT viva UKAWA!!!
Kikwete Big up big Dad!!!
VIVA CCM
MAGUFULI HOYEEEEEEEEEEE
HAPA KAZI TUUUUUU
LOWASSA KWA MAGUFULI HUWEZI.
Lowassa jiandae kwenda kuchunga ng'ombe maake TINGA TINGA LINATINGA IKULU.
Lowassa OUT DK.90 Zuhura Yunus na Mangekimambi msisahau kusiriba mpaka asahau Mshenga na Shehe wake Wa Jangwani
Acha kutetea upuuzi wewe,
Kwani wakti Lowassa anaunda chombo chake yeye Kiwete alikuwa wapi????
Hivi unajua maana ya uwajibikaji wewe zezeta? Hakuna kazi yoyote ya kiserikali ifanywe na Waziri Mkuu na Makatibu wakuu peke yao bila kuwa wanatoa taarifa ya hiyo kazi kila siku kwa Rais. Haiwezekani. Kama nchi ilikuwa inaenda kuingia kwenye giza ilikuwa ni jambo la dharura kwa maana hiyo Kiwete kama Rais alikuwa akipewa mrejesho wa kila hatua inayofikiwa ! Kwa maana nyigine Rais alihusika kwa kila hatua.
Kwa watu wenye akili timamu hapa Kiwete amejivua nguo na kwamba kumbe hata yeye aiihusika kwa 100%. Watanzania tulishamjua Kiwete kwamba huwa kigeugeu akiona mambo yanakuwa moto, kwa maana nyingine HE IS A COWARD PRESIDENT!
Kumbuka kilichotokea wakti wa mchakato wa KATIBA MPYA. Rasimu zote 2 alipelekewa na Mzee Warioba na akazikubali kwa 100% kuwa ziendelee mpaka kwenye hatua ya BUNGE MAALUMU LA KATIBA.
Baada ya kutishwa na Mahafidhina wa CCM akabadili rangi kama KINYOGA! This is non-sense. Kiwete is just a chief Hypocratic and a Coward President ever lived in Tanzania!!
Kwa kauli hii ni wazi Tanzania kwa miaka 10 ilikuwa haina Rais na hapa ndipo ninapothibitisha kwa dhati kabisa ile kauli ya Mnyika Bungeni kuwa huyu jamaa ni .....!!!
Kikwete Ni laana kwa taifa hili la Tanzania
Tarehe 25/10/2015 kuna nini?
Kikwete Big up big Dad!!!
VIVA CCM
MAGUFULI HOYEEEEEEEEEEE
HAPA KAZI TUUUUUU
LOWASSA KWA MAGUFULI HUWEZI.
Lowassa jiandae kwenda kuchunga ng'ombe maake TINGA TINGA LINATINGA IKULU.
Lowassa OUT DK.90 Zuhura Yunus na Mangekimambi msisahau kusiriba mpaka asahau Mshenga na Shehe wake Wa Jangwani