Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
Maamuzi tumeshafanya toka moyoni huwezi kutubadilisha wewe kwanza una siku mbili tu ulizobakisha.
 
HIVI UKIMUONA ASKARI ANAKUJA KWAKO RAIA KUKUAMBIA KUWA "YULE BWANA NDIE ALIYEIBA BAISKELI YAKO NILIMSHUHUDIA KABISA NIKAMWAMBIA AACHE AKAENDELEA AKACHUKUA' UTAMUONAJE au kumtafsiri vipi

na huyo anaeiba ukimkamata akakwambia mimi sio mwizi ila nimetumwa kuiba,utamwelewaje?
 
Ngojera zako mh. mwisho wake leo. Kuanzia kesho saa 5 hesima debe kwa Mh. Lowassa ! Lowassaaaaaa !!!! Raisssss !! Magamba hamta amini .
 
Anatapa tapa huyo! Nadhani Anafaa Aingizwe Kwenye Record Ya Maajabu Ya Dunia Kwa Kuwa Rais Wa Kwanza Anaefikiri Kwa Kutumia Tumbo..
 
Kwahiyo anawaambia watanzania na dunia nzima kuwa serikali yake inawalinda mafisadi kwa kuwa haiwachukulii hatua yoyote ya kisheria!!!!!!!
 
We ongelea nafsi yako bwana hao watu 10000 nawafananisha na kundi la punda linaloongozwa na simba

Tulifanya makosa 2005..2010 mwaka huu haturudii makosa, lowassa ndiye raisi wetu
Lowassa kasema kama kuna mtu ana ushahidi kwamba yeye alihusika aende mahakamani!!! (jiulize swali je kuna mtu kaenda, je huyu mkuu wetu kaenda mahakamani???)

Kama rais alikua anajua kuwa lowassa ni muhusika kwanini hakumchukulia hatua mwaka 2008 na mpaka leo anaishia kupiga makelele tu, why anaogopa kumchukulia hatua??? nini kimejificha hapa???

Ikumbukwe kwamba mwaka 2010 kikwete alikua mstari wa mbele kusema lowassa ni mtu safi kwanini sasa anasema tena lowassa ni anahusika na richimond??? hii si ni dalili ya ukigeugeu????

Je ni wapi kama watanzania tulikosea mpaka tukapata rais kama huyu????

kwasasa hamna jinsi tena washachelewa na sisi kama watanzania tushaamua Hata wakimwita jambazi kura zetu twampa lowassa!!! in fact, ni bora mtu tunayemjua ni bora mwizi mmoja aliyezungukwa na wema 10000 kuliko mwema mmoja aliyezungukwa na majambazi majizi 1000000!!! viva lowassa RAIS WETU WA JMT viva UKAWA!!!
 
Kama alijuwa hivyo kwa nini alikaa kimya miaka 8 yote na kwa nini alishindwa kuruhusu vyombo vinavyoshughulika na jinai visifanye kazi y?ke juu ya Lowasa?? Kwa nini 2010 alimnadi kule Monduli kwamba ni mtu safi? Kwa nini aliendelea kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi usalama. Acha siasa za kitoto Ukubwa dawa siyo utoto!!!!!!!!!
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Katika viongozi ambao ninamfananisha ya jamaa aliyekuwa anakata tawi alilolikalia. KAMA kiongozi wa nchi ulikuwa wapi? mkuu wa nchi umeonesha utumbo na pumba. kwa maana hiyo wakati wote ulikuwa unatuadaa wananchi sio?
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Katika viongozi ambao ninamfananisha ya jamaa aliyekuwa anakata tawi alilolikalia. KAMA kiongozi wa nchi ulikuwa wapi? mkuu wa nchi umeonesha utumbo na pumba. kwa maana hiyo wakati wote ulikuwa unatuadaa wananchi sio?
 
Mwaka huu tunatimua mlinzi mzembe (CCM) Kisha tunakabidhi funguo kwa mwizi mchapa kazi. Tuone!
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Kwahiyo haituhusu
 
kura yangu nampa lowasa wambie wamechelewa hzo najua ni kejeli tu
Kikwete si ndio alikua rais
 
Kama ni kweli basi kaonyesha jinsi alivyo dhaifu!

Manake, kwa nini sasa serikali yake haikumchukulia hatua za kisheria?

Itazame kauli hiyo kwa jicho jingine: hapo ni JK anamshtaki Lowassa kwa Magufuli. Manake leo hii CCM wanatuambia Magufuli atakapoingia madarakani basi atarekebisha yote waliyoharibu na kufanya yote yaliyowashinda kwa miaka 54!
 
KUNA WATU WANNE NINAOWAFAHAMU PERSONALLY WALIKUWA HAWAJAFANYA MAAMUZI MPAKA LEO HII.......Lakini kwa kauli ya Kikwete wamefanya maamuzi ya kumchagua mgombea wa Ukawa.
Kwa kauli zao wenyewe,Kikwete amedisapoint.......kaivua nguo serikali yake.....kadhibitisha ili uwe salama fanya madudu CCM ila usjiengue....
Hakika.........''CCM NI ILE ILE''
K
 
Too late to catch the train try another trick Mr this won't make any difference.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom