Duh, hizi chuki zinakwedna vipi jamani sii ndio Ya obama kutyaka kuzngumza na wanafunzi Republican wakapinga vibaya vibaya lakini wao alipohutubia Reagan na Bush mzee haikuwa shida.. Tumewaona Mwinyi, Mkapa wakizungumza tena pumba tupu lakini haikuwa na upinzani kama huu..
Kitu kimoja tu , sisi ni wananchi na tujipange.. Haya maswala ya kupinga kila kitu kisha keshoa JK atakuja hutubia watu hamna hata swali moja.. hakuna mtu atakaye inua kidole kuuliza swali la maana..Kipangeni Onyesheni kama kweli mna maswali ambayo yatampa shida na sii kutaka ati JK aje JF kujibu maswali... Utafikiri sisi ndio Mamwinyi wa Bagamoyo tukiagiza maswali huku tumakaa ktk vijiwe vya kahawa..
Mmeshaambiwa JK atapokea maswali hivyo, ni jukumu lenu kutafuta kila mbinu kuuyyafikisha maswali yenu hata kama akijibu Utumbo ndio wakati mzuri kwa wananchi wote tanzania kusikia Utumbo huo, lakini mkiacha na akatoka mtupu, makofi mengi kisha mnalaumu Uongozi wake, huu ni unafiki, kwa sababu mnajua fika kwamba JK atachukua tena ushindi mwaka 2010..Uvivu wa kutouliza na kuendelea kulaumu tuu wakati tunashindwa kujiwakilisha yaani to play our part ni tafisiri nzuri kabisa ya Ndivyo Tulivyo..
Muda unakwenda tungeni maswali yenu, tafuteni kila mbinu muyawakilishe hayo maswali kwa wqahusika au vyombo vya habari.. JK anatakiwa kuwa na wakati mgumu kujibu maswali na hapo ndipo wananchi hasa wa mikoani na vijijini wataweza kufikiwa na magazeti ya kesho.
Kitu kimoja tu ningeomba kuwepo na utaratibu wa kila mara kwa rais kufanya hotuba kama hizi na apokee waswali toka waandishi wa habari toka vyombo mbalia mbali badala ya kuchukua maswali kiholela. Ndugu zangu tuutumie muda au nafasi hiyo kufanya japo dogo la maana kuliko kuendelea kulalamika tuu na utawala wa JK..
Kitu kimoja tu , sisi ni wananchi na tujipange.. Haya maswala ya kupinga kila kitu kisha keshoa JK atakuja hutubia watu hamna hata swali moja.. hakuna mtu atakaye inua kidole kuuliza swali la maana..Kipangeni Onyesheni kama kweli mna maswali ambayo yatampa shida na sii kutaka ati JK aje JF kujibu maswali... Utafikiri sisi ndio Mamwinyi wa Bagamoyo tukiagiza maswali huku tumakaa ktk vijiwe vya kahawa..
Mmeshaambiwa JK atapokea maswali hivyo, ni jukumu lenu kutafuta kila mbinu kuuyyafikisha maswali yenu hata kama akijibu Utumbo ndio wakati mzuri kwa wananchi wote tanzania kusikia Utumbo huo, lakini mkiacha na akatoka mtupu, makofi mengi kisha mnalaumu Uongozi wake, huu ni unafiki, kwa sababu mnajua fika kwamba JK atachukua tena ushindi mwaka 2010..Uvivu wa kutouliza na kuendelea kulaumu tuu wakati tunashindwa kujiwakilisha yaani to play our part ni tafisiri nzuri kabisa ya Ndivyo Tulivyo..
Muda unakwenda tungeni maswali yenu, tafuteni kila mbinu muyawakilishe hayo maswali kwa wqahusika au vyombo vya habari.. JK anatakiwa kuwa na wakati mgumu kujibu maswali na hapo ndipo wananchi hasa wa mikoani na vijijini wataweza kufikiwa na magazeti ya kesho.
Kitu kimoja tu ningeomba kuwepo na utaratibu wa kila mara kwa rais kufanya hotuba kama hizi na apokee waswali toka waandishi wa habari toka vyombo mbalia mbali badala ya kuchukua maswali kiholela. Ndugu zangu tuutumie muda au nafasi hiyo kufanya japo dogo la maana kuliko kuendelea kulalamika tuu na utawala wa JK..