Mangula hajawahi kuwa mwenyekiti labla umepitiwa kidogo. Ninachokifahamu huyu bwana aliwahi kuwa katibu mkuu wa magamba nafasi ambayo kwa sasa inashikiliwa na gamba lingine kwa jina la Mukama.The biggest ever mistake done by J.K was to chess away Pro. Mangula as CCM Chairman...hapo JK kajamb.ia jivu na lishatawanyika....let him go!!