Kikwete kuondolewa uenyekiti CCM

Status
Not open for further replies.
Wabunge na UVCCM si lolote kwenye kura za wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa CCM wenye zaidi ya wajumbe 1800 yaani watafunikwa kuanzia hukohuko kwenye majimbo maana hawafiki 360 nadani ya Ukumbi wakati wa kupiga kura.
Kikwete mwacheni amalize muda wake, km wanashida Ikulu iko wazi kwa majadiliano katiba, au kuhama Chama kuvua gamba hata km walimwita mwizi wa kura
yeye yeyeto ruksa kumwona

Hakika kama ni kwa stye hii,basi ni kweli huyu mwenyekiti wao yuko mashakani,ukiunganisha na wale tunaowasikia kuwa ni mahasimu wake basi kuna kimbembe cha kufa mtu na si mchezo.Vinginevyo walipane hivyo hivyo kinyemela uku akiwa na mtihani wa kujibu umma pindi ukicharuka au adinde kiume na kufanya maamuzi kama ya ben kuwaibukia Bungeni na kuwapa bonge ya karipio la kitisho.
 
Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
source halafu funguka zaidi JF ni home of great thinkers dont bring blanket statements here, kama ni udaku kuna sehemu zake hapo sasa tujadili nini??
 
Sidhani kama Tanzania tume mature vya kutosha kisiasa kutuwezesha kuwa na kofia hizi mbili chini ya watu wawili tofauti bila ya kuleta migogoro ya uongozi. Binafasi nadhani litakuwa kosa kubwa sana kufanya hivyo kwani tofauti na nchi nyingine zilizoendelea ambako wenyeviti wa vyama husika mara nyingi (kama sio zote) huwa hawajihusishi na mbio za Urais, kwa Tanzania hali ni tofauti. Kumtoa Mwenyekiti wa sasa wa CCM katika nafasi hiyo kitatuletea vurugu nyingi sana kuelekea 2015. Sioni kama ujio wa mwenyekiti mpya utamaliza migogoro ya sasa kwani tatizo lililopo sasa ni pana sana. Hata hivyo kikao chenye mamlaka ya kumtoa mwenyekiti na makamu wake ni Mkutano Mkuu wa Taifa, na haujawahi kufanya hilo, na badala yake wenyeviti waliopita aidha waliondoka kwa hiari zao au baada ya kumaliza muda wao wa uongozi. Itakuwa ni maajabu ya kihistoria kama hilo litafanikiwa. Napinga hoja.
Ni kweli Mkuu hatujakomaa sana kuweza kufanya hivyo, lakini tukidhamiria, tunaweza kufanya
 
Tatizo sio Mheshimiwa Kikwete, hata kama wataondoana woote ni kazi bure CCM na sysytem yake yoote imeoza!!!! Ili kuwa na nchi nzuri inahitajika the whole system ya CCM IPIGWE CHINI ili ijifunze uadilifu, wajifunze nje ya box wakiwa ndani hukuna wa kumfundisha mwingine!!!!! Samaki akioza mmoja kwenye kapu wote wameoza na wananuka hiyo ni CCM!!!!

JK hahiitaji wabunge wa CCM bali wabunge wanamhitaji yeye,kumbuka general election iliopita hakutegemea wabunge wa CCM.
 
Hii ndoto ya alinacha sawa na ile ya mtoto wa Malecela kuwa katibu mkuu wizara ya Afya!!
 
Kwa sasa hakuna kiongozi wa CCM mwenye mvuto wa kikirejeshea chama hiki hadhi ya chama makini cha siasa. Karibu wote waliopo ni wachumia matumbo wanaoganga njaa zao tu.

CCM ni mufilisi kisiasa na kwa sasa wanabebwa na nguvu za dola!
Kwa maana hiyo Mkuu Ileje wanachukua chao mapema (CCM) kabla chama lao halijafa???????
 
wee endeleza kupoteza muda na udaku wako apa wakati kikwete anapiga kazi ya kuwahudumia watanzania


Feb 3

[h=1]Rais Jakaya Kikwete Ashiriki Sherehe Ya Siku ya Sheria Tanzania[/h]

Written by haki | // 0 comments

ngo6.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiuhtubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es salaam leo January 3, 2012
ngo7.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana katika viwanja vya Mahakama kuu jijini Dar es salaam leo January 3, 2012 na kupokewa na Jaji Mkuu Mh. Mohamed Chande Othman nyuma yake, Spika Anne Makinda (anayepeana nae mikono, na viongozi wa juu wa Mahakama kabla ya kuhutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es salaam leo January 3, 2012
ngo5.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia kalenda aliyozawadiwa na Jaji Mkuu Mh. Mohamed Chande Othman baada ya kuhutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es salaam leo January 3, 2012.Picha na IKULU
 
WAKATI WEWE UNAPIKA MAJUNGU YAKO ANGALIA HAPA



Feb 3

[h=1]Rais Jakaya Kikwete Akutana na Kupokea Mapendekezo ya Baraza la Taifa la NGOs Ikulu jijini Dar es salaam[/h]

Written by haki | // 0 comments

ngo4.jpg

ngo1.jpg

Picha Juu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mapendekezo ya Baraza la Taifa la NGOs Ikulu jijini Dar es salaam leo January 3, 2012 kuzungumzia mchakato wa Katiba
ngo3.jpg

ngo2%282%29.jpg

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na viongozi wa Baraza la Taifa la NGOs Ikulu jijini Dar es salaam leo January 3, 2012 kuzungumzia mchakato wa Katiba.Picha na IKULU


Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook
 
and the cow jumped over the moon.
I mean beside fairy tales,what else can we talk about here?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom