Wamvue na huo urais kwani hayupo anayemhitaji. Ameharibu sana sifa za Tanzania.Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
Chonde chonde wanaCCM msimvue wadhifa huyu Mwenyekiti ili amalizie kazi aliyonayo ya kuwakomboa Watanzania kwa kuiulia mbali hii CCM iliyogeuka janga baya kabisa nchini mwetu. Tafadhalini nikakupeni rai!Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
Ngoja tuone