Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
mambo ya viroba vya konyagi!Ndoto za mchana...
hata wakivuana wooote nyadhifa hadi selikalini ccm hakuna mwenye akili hata 1 angalia walivo feli kutatua mgogoro wa mgomo wa madaktari hii wiki ya 3 sasa hawajui hata wafanye nini, hivi kama ungekuwa ni uvamizi wa mipaka taifa lingekuwa mateka? Kikwete mwenyewe karudi badala ya kutatua tatiza yuko bize na kufungua benki. Ovyo kabisaMpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
Toilet paper at work!
Naomba asiondolewe ili ccm ife kabisa tuizike maana tumechoka nayo kabisa
We mtani wangu nini broda!Unaruhusiwa kura sumu au kujinyonga kuonyesha kwamba huipendi CCM.
mpango huu uliwahi kuandikwa na gazeti la udaku la mwanahalisi.... nahisi huu ni mwendelezo wakeMpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa