Suala siyo CCM hapo! Think big.
Ni majangili iweje wakamatwe kama si majangili walikamatwajeee na ushahidi upo wazi hv jangili anajulikana usoni? usione pua kubwa ukadhani kamasi zinatoka debe
Tusipoitoa CCM madarakani kwa sanduku la kura kutokana na wizi wao basi itabidi tutafute njia nyingine huu ****** hakubaliki kamwe, niko tayari kuingia hata msituni kutetea wanyonge...
Ilipasa kuwa operation maalum ya kijeshi likiwemo jw baada ya njia ya kawaida kushindwa. Inaelekea wengi mmeingia mkenge wa majangili kwa jinsi walivyozuia zoezi la kuwadhibiti kwa kisingizio cha uvunjaji haki za binaadamu. Madai mengi ya haki za binaadam ni propaganda iliyofanikiwa kupitia wabunge kuhujumu zoezi la operation uhai.kwa hiyo kubaka na kuwaingizia chupa sehemu za siri ni njia za CCM ili wawa taje maboss wao na wakimtaja Kinana mna wauwa...pata picha angeingiziwa mama yako angeandika ulicho kiandika...
Una uhakika hizi picha ni za watanzania?
Suala siyo CCM hapo! Think big.
Wakati mwingine ni busara sana kukaa kimya kama huna hoja!hizi picha ni za watanzania kwa sababu kuna ndugu zetu yamewakuta haya!Una uhakika hizi picha ni za watanzania?
Teh teh teh! Fikra za ki ma sa bu ri!!Suala siyo CCM hapo! Think big.
Mkuu akili ni nywere kila mtu ana zake!hao watu walitumwa na serikali ya chama kipi? naomba utujuze
kwa hiyo kubaka na kuwaingizia chupa sehemu za siri ni njia za CCM ili wawa taje maboss wao na wakimtaja Kinana mna wauwa...pata picha angeingiziwa mama yako angeandika ulicho kiandika...
Jangili wako ngazi tofauti inategemea mbinu iliyotumika na operation. Inaelekea walianza na washukiwa ngazi ya chini mfano wavamizi wa hifadhi na wakazi pembezoni mwa hifadhi na kuwatia kibano kutaja mabosi ngazi ya juu na kadhalika. Kwa kua nchi yetu watu ni hodari wa kupiga siasa na kula rushwa tu, operation uhai imetupiliwa mbali huku fedha nyingi imetumika bila ufanisi wowote wa maana.
Mtu gani amefanya hivyo kama sio propaganda! Wekeni video ya hiyo basi ili tuamini. Point hapa majangili wameshinda operation tokomeza majangili imekufa. Are you happy.sijakuelewa. kwa hiyo mbinu ya kuingiza chupa kwenye xuma za kina mama ndiyo mbinu sahihi ya kusaka majangili? unajua wewe unantia hasira?
Ilipasa kuwa operation maalum ya kijeshi likiwemo jw baada ya njia ya kawaida kushindwa. Inaelekea wengi mmeingia mkenge wa majangili kwa jinsi walivyozuia zoezi la kuwadhibiti kwa kisingizio cha uvunjaji haki za binaadamu. Madai mengi ya haki za binaadam ni propaganda iliyofanikiwa kupitia wabunge kuhujumu zoezi la operation uhai.