Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,911
- 6,002
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazoezi kijijini kwake Msoga jana wakati akiwa ametimiza miaka 72.
Hapo pembeni akiwa na Shaffih Dauda waliobaki ni wana usalama.
Imekuwaje miaka 7 baada ya kustaafu kwake, bado ulinzi wake ni mkubwa. Hakika JK ni hazina ya nchi hii.
Hapo pembeni akiwa na Shaffih Dauda waliobaki ni wana usalama.
Imekuwaje miaka 7 baada ya kustaafu kwake, bado ulinzi wake ni mkubwa. Hakika JK ni hazina ya nchi hii.