Kikwete azidi kun'gara Duniani!

Kikwete ang'ara huku Mkapa akifungua foundation yake ! Mkapa and fellows, weweeeeeeeeeeeeeee ! Ndio mheshimiwa mstaafu, keep your head up ! fanya biashara kokote utakapoweza babu !
 
.....conspiracy.....haooo majira..sioni yakusifia kwa jk...ni uozo tu..na uvivu wa kufikiri...the worst president we have ever had....
 
kwanza huyo mama aliyekuwa akikazania kupiga naye picha anasema aliiona picha yake na akamuona wakati wakampeni "akamvutia"....sasa kweli huyu mwandishi anashindwa kutofautisha kuvutia kwa sura ya kingwendu na kuvutia katika uongozi??? huyo mama kama alikuwa anamtaka wangemuunganisha tu ...lakini yeye hajui shida zetu za leo watanzania........

afterall rais anakuwa zeze la kufikiri kujisifu kwa kusifiwa na watu ambao hawakumpigia kura...na wala hawatakuja kupiga kura...
wengi wetu kura zetu zinatuuma..tuna uchungu sana...
 
Kwa vile Rais Kikwete anang'ara zaidi nje ya nchi na anaonekana kupendwa zaidi na vyombo mbalimbali vya kimataifa wakati umefikia aende akagombee Urais wa Ulaya ambako anapendwa na kuna uwezekano wa kupata kura zaidi ya asilimia alizozipata kwa walalamishi wa Kitanzania.

Najaribu kufikiria ni nchi gani huko Ulaya na Marekani ambayo itamchagua Rais ambaye anapuuzia ufisadi na kuita "kelele za wapinzani", ambaye anashindwa kusimamia maslahi ya Taifa hadi wakubwa walalamike, na ambaye kila kukicha anaenda nchi za nje kutafuta sifa!

Kama kweli wanampenda wamchague basi awe Rais wao!! Angalau itatupa nafasi ya kuanza upya.
 
eti mwanakijiji anakebehi watanzania tunapokuwa nje ya nchi na kuanza kumkebehi kwa wahisani ..tukiwapa hao wazungu kichogo tu wanatungonga..kesho yake haao hao akienda na "bakuli" kuomba misaada wanampa kede kede....

mwalimu nyerere we love you mimi naamini kwenye sera zake"tujitegemee ..tegemea ardhi yako mwenyewe ,tegemea watu wako mwenyewe ,tegemea fedha zako mwenyewe,tegemea viwanda vyako mwenyewe......"...sasa tunaye rais ambaye anajifanya akimfahamu mwalimu[wakati wa mwalimu alikuwa katibu wa ccm wilaya singida/newala..masaidizi wa karibu kabisa eh]....anafurahia kutembeza bakuli ...badala ya kujaribu kujitegemea hata kidogo...tazama kenya wanategemea budget ya ndani kwa asilimia 95%...
 
mkjj Rais hajapuuzia kama unavyotaka uamini, yeye kasema vyama vya siasa visijigeuze mahakama, polisi na vyombo vyengine vya hukumu.

akimaanisha tuwaachie wenye majukumu hayo yafanye kazi yake. na una hakika kuwa vyombo vinavyohusika vimekaaa kimya juu ya hili?

hivi hujui maana ya good governance? au unataka rais avunje baraza halafu uje na habari kama ile ya kuspin kuwa wabunge wa arusha wamevuliwa uanachama, na hawakutendewa haki? hali ya kuwa habari yenyewe ni uongo mtupu.

eeh mzee wangu kama umechukua cha watu kidogo jitahidi kupanga vyema mashambulizi unafedheheka mkuu.

ZEEE la nyeti wacha kupiga mayoweeeeeeee yeshakushinda uwaachie wenyewe
 
mtu wa pwani, Said Mwema jana kasema ana majina 225 ya wauza madawa na kati yao 78 ni "vigogo". Akasema kuwa hayo 78 anayepeleka Ikulu....
 
Nategemea hizi sifa zitatuletea maendeleo kama aliyo yaleta Mkapa baada ya kuzoa masifa kibao
 
mtu wa pwani, Said Mwema jana kasema ana majina 225 ya wauza madawa na kati yao 78 ni "vigogo". Akasema kuwa hayo 78 anayepeleka Ikulu....

habari hiyo imeandikwa kwenye gazeti gani nnaomba utupatie tujiridhishe

au ndio kiyla wa kaala
 
Hivi ni kweli Good Gorvenance ni kuchukua muda hadi watu wasahau ? Mwema is he not trying to spin na yeye ili kumsaidi shemeji yake kwa kusema vyombo husika viko macho ?Majina haya yanaenda kufanya nini kama utawala wa sheria uko wazi ? Vigogo wako juu ya sheria ama ni wanene na wazito kwamba they cannot be arrested na jeshi la polisi ?
 
Lunyungu umeshaamini kabla ya uona hiyo habari? au ndio mzee authentication yako kwa mkjj 100% haihitaji ushahidi?
 
Hivi waungwana mnategemea nini? Mambo yanapokuwa magumu Administration huwa inajaribu ku spin na kuja na habari nzuri ambazo zinaweza kumwongezea kiongozi popularity ama kuua habari mbaya. Hoping that they will catch a break.
Nchi kama MAREKANI wana FOX NEWS kwa ajili ya serikali ya Bush na GOP wote. Nyumbani (TZ) tuna Daily News na Uhuru. Kwa hiyo, this is a SPIN.
Hebu tuongeze petroli kwenye huu moto wa Ufisadi na kutokuwajibika.
 
Hivi waungwana mnategemea nini? Mambo yanapokuwa magumu Administration huwa inajaribu ku spin na kuja na habari nzuri ambazo zinaweza kumwongezea kiongozi popularity ama kuua habari mbaya. Hoping that they will catch a break.
Nchi kama MAREKANI wana FOX NEWS kwa ajili ya serikali ya Bush na GOP wote. Nyumbani (TZ) tuna Daily News na Uhuru. Kwa hiyo, this is a SPIN.
Hebu tuongeze petroli kwenye huu moto wa Ufisadi na kutokuwajibika.



Good one nakuunga mkono kabisa . Sisi tuongezee kasi pamoja na kwamba hata ITV nk wanajaribu kuonyesha ma ziara ya JK kwa maana ya ku spin lakini sisi issue zibakia kuwa issues .
 
Haya ukweli ni Upi?....

Kikwete misquoted, says CCM`s Mwanri

2007-10-24 09:26:47
By Emmanuel Chacha, Mwanza

CCM ideology and publicity secretary Aggrey Mwanri has said President Jakaya Kikwete has not brushed aside allegations on grand corruption made by opposition leaders.
Mwanri said the President`s statement made in Arusha to the effect that some politicians had assumed the roles of security officers, public prosecutors and magistrates all in one, did not mean that he had downplayed the charges.

`President Kikwete is very much committed to the fight against corruption within CCM, the government and the whole society,` Mwanri said.

`Quite unfortunately,` he said, `the President`s remarks given in Arusha were misunderstood. Some people thought he had ruled out any action, that nothing was going to be done. That is untrue,` Mwanri said.

He said serious investigations by responsible organs were being carried out because the government was highly committed to the rule of law.

He said good governance meant waiting for the outcome of investigations.

Mwanri said during the recent NEC meeting, President Kikwete had assured party members that he would not tolerate anyone found to be corrupt.

He said the President demonstrated zero tolerance on corruption, winning praise and support of NEC members, a fact that was not challenged in any media organ.

The CCM official also announced that positions of newly elected CCM leaders from ward to regional level were still hanging in balance, pending the outcome of a probe on election fraud currently undertaken by the CCM ethics committee and relevant state organs.

According to Mwanri, any elected leader found to have bribed voters would be unseated even if available evidence did not warrant the taking of legal action.

`We are still gathering information from various sources. Once we find out that somebody used bribery to secure election victory, we will immediately strike that person out. The evidence we want is not like that required by the courts. Even circumstantial evidence will enable us to take action,` he said.

He said during the forthcoming national CCM elections, the fight against corruption would be undertaken in the strictest way possible.

`We only need CCM members to inform us if there is an aspirant who is bribing his way to victory. We will disqualify that person straight away,` he said.
 
Yale yale ya Mkapa kusifiwa na WB na IMF! wakati Watanzania wanalalamika kila kona ya nchi. Hii sinema tumeshaiona Watanzania na mwisho wake hatukuupenda!
Juzi tu mwingine kasifiwa na WB sababu ya uchumi ulioendelea
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom