Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,930
- 100,198
Stupid!And, very stupid!Huyu mzee alitakiwa awe Rais mpk leo hii badilishabadilisha haina maana wala faida yyte
Stupid!And, very stupid!Huyu mzee alitakiwa awe Rais mpk leo hii badilishabadilisha haina maana wala faida yyte
Pole sana kwa ugonjwa wa usonji unaokusumbua.
Ukikwama sehemu sema tuongeze nguvuHujui kuwa kazi tayari inaendelea?
Unaweza kutangulia wewe kuifanya hiyo safari ukamuacha huyo Mzee anafunga mkanda angani kila kukicha.Uhuru wa nchi hii utapatikana siku ambayo huyu tapeli akiwa chini futi 6
Hakuna mtu wa kuiuza Tanzania, tuchape kazi tupunguze uvivu.Kila mtu anataka kuuza tanganyika yetu chura aka kizimkazi amepata URUSI na JK amepata U.S.A mwenye Dau kubwa auziwe tu.watanganyika hawajielewi.
Kazi ni kipimo cha utu
well done Jakaya Mrisho Kikwete, retired President of United Republic of Tanzania,
unafanya kazi nzuri na kubwa sana baba kwa maslahi mapana ya Taifa hata baada ya kustaafu![]()
Mkuu hiyo Ego Iran na kina Maduro hawaijui?Imeisha hiyo, JK ni mwanasiasa mjanja mjanja lazima anajua DJT ni kiongozi mwenye ego na transactional sana.
Hawakujinyenyekeza na kukubali kumpa mafutaMkuu hiyo Ego Iran na kina Maduro hawaijui?
Ntu ya DILIRais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo na Bw. Massad Boulos, Mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump anayeshughulikia masuala ya Nchi za Afrika, Uarabu na Mashariki ya Kati.
Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa Oslo Forum 2026 unaoendelea jijini Oslo, Norway, kuanzia leo Juni 10 hadi 12, 2026.
Mkutano huo umewakutanisha Viongozi, Wanadiplomasia Waandamizi na Wataalamu wa masuala ya amani na usuluhishi kutoka Nchi mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili changamoto za usalama, diplomasia na juhudi za kuimarisha amani katika maeneo mbalimbali ya dunia.
Kataa, Hapo Anakwenda Kuwapa Makaa Ya LigangaNtu ya DILI
Kataa, Hapo Anakwenda Kuwapa Makaa Ya Liganga
ha ha ha haaaaKataa, Hapo Anakwenda Kuwapa Makaa Ya Liganga
Ameongea naye au amepiga naye picha?Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo na Bw. Massad Boulos, Mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump anayeshughulikia masuala ya Nchi za Afrika, Uarabu na Mashariki ya Kati.
Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa Oslo Forum 2026 unaoendelea jijini Oslo, Norway, kuanzia leo Juni 10 hadi 12, 2026.
Mkutano huo umewakutanisha Viongozi, Wanadiplomasia Waandamizi na Wataalamu wa masuala ya amani na usuluhishi kutoka Nchi mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili changamoto za usalama, diplomasia na juhudi za kuimarisha amani katika maeneo mbalimbali ya dunia.
Utakuwa umechelewa sana kama umekaa pembeni kusubiri matokeo ya kazi za wengine..Ukikwama sehemu sema tuongeze nguvu
Tupo nyuma yako
Wasiompenda JK sijui...Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo na Bw. Massad Boulos, Mwanadiplomasia na Mshauri Mwandamizi wa Rais wa Marekani, Donald Trump anayeshughulikia masuala ya Nchi za Afrika, Uarabu na Mashariki ya Kati.
Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa Mkutano wa Oslo Forum 2026 unaoendelea jijini Oslo, Norway, kuanzia leo Juni 10 hadi 12, 2026.
Mkutano huo umewakutanisha Viongozi, Wanadiplomasia Waandamizi na Wataalamu wa masuala ya amani na usuluhishi kutoka Nchi mbalimbali duniani kwa lengo la kujadili changamoto za usalama, diplomasia na juhudi za kuimarisha amani katika maeneo mbalimbali ya dunia.