Kikwete 'anampinga' January for President 2015'?

Kikwete 'anampinga' January for President 2015'?

January bado sana sema hajijui kwamba bado na ndiyo maana anahangaika kwa vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wake.
 
Kwahiyo unataka utudanganye kwamba rais anachaguliwa kwa mvuto sio sera na dhamira yake kwa taifa. Could you go any lower than this?

niliposema mvuto sikumaanisha the man(membe)should have a sex appeal,understand me black man,..membe has no record,ya kiutendaji ambayo inaweza kuwa reference point ya kumnadi,we humuoni nchemba anakuja na upuuzi kama kuokoa mabilioni ya mishahara hewa bila kutaja majina ya ghost workers!!!
 
ana skandali ya kuiba pepa la necta hadi kufutiwa matokeo huyu....mwigulu kashfa ya umri na gpa,zitto ananuka rushwa na usaliti,membe hana mvuto,migiro is unpopular,yani watu wa jk wote hawauziki.!!!


Zitto atagombe urais kupitia katiba IPI?
 
ana skandali ya kuiba pepa la necta hadi kufutiwa matokeo huyu....mwigulu kashfa ya umri na gpa,zitto ananuka rushwa na usaliti,membe hana mvuto,migiro is unpopular,yani watu wa jk wote hawauziki.!!!

Jumapili njema mkaka you nailed it
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom