Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 9,228
- 8,924
They are all diplomats ... Nyerere, aliiwakilisha TANU LEGCO before becoming the first PM, Mwinyi ambassador to Egypt, Mkapa na JK wamewahi kuwa top diplomats ..... FOREIGN AFFAIRS IS STILL THE COMMON DENOMINATOR.Historical fact my foot! Wakati Mwinyi anateuliwa kugombea Uraisi wa TZ hakutokea Foreign Affairs na hajawahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania katika maisha yake yote. Mwaka 1995, alipochaguliwa kuwa Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje alikuwa Mh. Joseph Rwegasira. Wafuatao ndio wamewahi kukamata huo wadhifa Tanzania
Now run go tell'em!Wimbo mpya ni wa CCM kuwa madarakani kwa miaka 100 ijayo...ni kweli silaha zipo kuhakikisha hilo!