sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 722
Hahahahhaaha for sure!
Kikwete baada ya kufanya mabadiliko ya mawaziri kuna kitu kimoja nimekiona
kiko very interesting.....January amebaki bado naibu Waziri still'
Ni kama vile amempuuza?
mbona amewa promote kina Simbachewene?Jenista?
kabla ya hapo alishm promote Nyalandu huku January akiwa haamini ameachwa still as naibu waziri..
Now January ni sawa tu na Anna Kilango wote ni manaibu waziri
imebaki miezi tu kwenda kwenye uchaguzi kama January haaminiki hata kupewa
uwaziri kamili ni vipi aaminike kupewa urais?
naona Team January wanapaswa kujiuliza maswali haya sana
wanaweza kampeni ya media vizuuri sana but wamesahau the basics.....
Kilango ana uzoefu na uwaziri, alishwawahi kuwa waziri awamu zilizotangulia kisha akawekwa kiporo awamu hii. Wakati alishakuwa waziri kamili kisha baadaye kuteuliwa kuwa naibu waziri naona kama haiingii akilini, ningekuwa mie ningesema nampisha mwingine.
answer the damn question!!!
Meaning?
huoni kama kuna kampeni ya media na watabiri washanunuliwa kumsaidia?
Historical fact my foot! Wakati Mwinyi anateuliwa kugombea Uraisi wa TZ hakutokea Foreign Affairs na hajawahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania katika maisha yake yote. Mwaka 1995, alipochaguliwa kuwa Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje alikuwa Mh. Joseph Rwegasira. Wafuatao ndio wamewahi kukamata huo wadhifa Tanzania;Mwinyi, Mkapa, Kikwete .... wote walikuwa Foreign Affairs.
Sijui kuhusu Membe ila mtu wa Foreign Affairs atakuwa mgombea. This is not a dream, it's a historical fact. CCM hawatashindwa ku-deliver 51%.
Mwinyi, Mkapa, Kikwete .... wote walikuwa Foreign Affairs.
Sijui kuhusu Membe ila mtu wa Foreign Affairs atakuwa mgombea.
This is not a dream, it's a historical fact. CCM hawatashindwa ku-deliver 51%.
Makes sense, Mwinyi, Mkapa, Kikwete wote walitokea hukohuko. I'd rather say intelligence.
Mwinyi hajawahi kuwa foreign, usipotoshe!
Halafu hiyo hadithi ya foreign ni coincidence tu! Hakuna uhalisia hapo, ndo maana hata Nembe mwenyewe anajua hawezi kuwa rais wa TZ coz hajaoteshwa.
Kilango hajawahi kuwa waziri Kama sijakosea alikuwa anafanya ubalozi kabla ya ubunge.Anna Kilango alishawahi kuwa waziri siku za nyuma, kuna wenye kumbukumbua hapa watatuambia awapu ipi. Sikumbuki kabla hajafunga ndoa na Malecela baada ya Malecela kumtilekeza Tatu Ntimizi aliyekuwa Mbunge huko Mkoani Tabora au baada ya hapo.
Ndiyo maana kabla ya mechi hupewa historical facts. Kwa mfano, timu x imeshinda mara zote inpocheza uwanja y wakati wa msimu z.Mwinyi hajawahi kuwa foreign, usipotoshe!
Halafu hiyo hadithi ya foreign ni coincidence tu! Hakuna uhalisia hapo, ndo maana hata Nembe mwenyewe anajua hawezi kuwa rais wa TZ coz hajaoteshwa.