nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,248
how in the world you negotiate with embezzlers/thieves...rais wa kwanza duniani kuwaomba wezi warudishe hela waliyoiba halafu wasamehewe,it happened one of them ni rostam aziz na kagoda yake,the partner in crime!!!!Ukitaka kumpakazia mtu hata jema unaweza ukaligeuza likawa baya na ukitaka kumpamba mtu hata baya litakuwa jema, mfano Slaa na uzinifu na kupora mke wa mtu, ni jema hilo? lakini magwanda yupi anaekubali kuwa huo ufisadi mkubwa wa maadili?
Same thing EPA, Kikwete kaliibua hilo, lilianzia toka awamu za nyuma, kafanya wema kabisa na kaanza kwa kufanya jitihada fedha zirudi tena kwa kushauriwa na mtaalam wa mambo ya fedha, CAG, lakini watu wanampakazia kuwa ni ubaya wake!
Upo hapo ulipo MgonjwaUkimwi?
Last edited by a moderator: