Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
kikwete HANA LOLOTE AS FAR AS I KNOW HE CAN SACRIFICE ANYTHING WHEN HE SEE HIS POPULARITY SLIPPING DOWN....HE DEFINATELY KNOW LOWASSA BEING FIXED AND KNEW WHEN HE L FALL...FROM THE EXTRACT ..tusichanganye biashara..na siasa..being taken from MWAKYEMBE REPORT ..AMBAYO DEFINATELLY ATAKUWA ALIIONA KABLA AS PRESIDENT...
ISSUE ya kubeneya is another point which make me feel levels where not same btn lowassa na bosi wake...hisia za kubeneya kupigwa kutokana na kutangaza exit ya LOWASSA na kuingia kwa TYSON...si ya kudharauliwa...yet kwenye issue ya kamati ya MWAKYEMBE ..KUBENEYA AME FEUTURE TENA AS IF THERES RELATION BTN KUBENEYA /RICHMOND /MAFISADI NA KUPIGWA....ukiangalia katika hali ambayo haikutegemewa ..kikwete was the first kwenda kumuona kubeneya[ambaye jana alihudhuria kama mgeni bungeni]...na akasema waandishi wajihadhari.....JE KIKWETE ALIMTUMIA KUBENEYA KUWEKA LITMUS PAPER YA KUTEST EXIT YA LOWASSA INGEKUWAJE...its normal style in leadership to use journalist to test the fealings of certain intended breaking news..to test public reaction...its tested positive!!....
kikwete ni mnafiki kwa sababu pamoja na hayo yote jana imeripotiwa aliongoza kikao cha wazee kilichoshinda mchana kutwa KUMBEMBELEZA LOWASSA abadili uamuzi...hadi saa 3 usiku akawa ameshikilia msimamo wake WAKAAMUA KUTANGAZA RASMI KUKUBALI BARUA....that was hypocritical whilst knowing that hamuhitaji tena.....
TO THAT I SAY JK IS READY TO DO ANYTHING TO FIX POPULARITY..NA SASA TUTEGEMEE UMAARUFU WAKE UTAKUWA JUU....FOR AN EXTRA MILE....MAY BE IKIFIKIA KARIBU NA UCHAGUZI WA NEXT TERM...ILI KUPATA UMAARUFU ...ATATUKAMATIA MKAPA NA MAFISADI WALIOBAKIA...NA HAPO ATAPITA KWA KISHINDO MWAKA 2010!!! WHY NOT IF WE HAVE A PROFESSOR OF POLITICS AS OUR PRESIDENT!!!!
KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!! KIGUMUU!!!!
ISSUE ya kubeneya is another point which make me feel levels where not same btn lowassa na bosi wake...hisia za kubeneya kupigwa kutokana na kutangaza exit ya LOWASSA na kuingia kwa TYSON...si ya kudharauliwa...yet kwenye issue ya kamati ya MWAKYEMBE ..KUBENEYA AME FEUTURE TENA AS IF THERES RELATION BTN KUBENEYA /RICHMOND /MAFISADI NA KUPIGWA....ukiangalia katika hali ambayo haikutegemewa ..kikwete was the first kwenda kumuona kubeneya[ambaye jana alihudhuria kama mgeni bungeni]...na akasema waandishi wajihadhari.....JE KIKWETE ALIMTUMIA KUBENEYA KUWEKA LITMUS PAPER YA KUTEST EXIT YA LOWASSA INGEKUWAJE...its normal style in leadership to use journalist to test the fealings of certain intended breaking news..to test public reaction...its tested positive!!....
kikwete ni mnafiki kwa sababu pamoja na hayo yote jana imeripotiwa aliongoza kikao cha wazee kilichoshinda mchana kutwa KUMBEMBELEZA LOWASSA abadili uamuzi...hadi saa 3 usiku akawa ameshikilia msimamo wake WAKAAMUA KUTANGAZA RASMI KUKUBALI BARUA....that was hypocritical whilst knowing that hamuhitaji tena.....
TO THAT I SAY JK IS READY TO DO ANYTHING TO FIX POPULARITY..NA SASA TUTEGEMEE UMAARUFU WAKE UTAKUWA JUU....FOR AN EXTRA MILE....MAY BE IKIFIKIA KARIBU NA UCHAGUZI WA NEXT TERM...ILI KUPATA UMAARUFU ...ATATUKAMATIA MKAPA NA MAFISADI WALIOBAKIA...NA HAPO ATAPITA KWA KISHINDO MWAKA 2010!!! WHY NOT IF WE HAVE A PROFESSOR OF POLITICS AS OUR PRESIDENT!!!!
KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!! KIGUMUU!!!!