zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Baada ya kusikiliza kwa umakini saga linaloendelea sasa hivi, naona pongezi za dhati zimuendee pia JK, kwani bila yeye kuridhia sidhani kama haya yote yangetokea.
Utakumbuka kuwa kamati mbali mbali za uchunguzi za serikali ziliwahi kufanywa hapo kale, especially wakati wa Mkapa lakini zilikaliwa na hazikuufanyiwa kazi yeyote.
muda mfupi aliokuwepo JK madarakani tunaona matokeo ya kamati tofauti, na ijulikane kwamba, kuundwa kamati hii, kulitokana direct na muongozo wa JK kwa six. Nani asiyojuwa kuwa six kwa maamuzi yake binafsi asingethubutu kuunda kamati. kama ajulikanavyo ni mshabiki wa ccm hata inapokosea na kama ilivyodhihirika jana kuwa, alimtonya EL baada ya kupokea hiyo taarifa kutoka kwa kamati, na EL ndio akaona mambo mabaya na kumuandikia six kujitetea wakati ni too late. kwa misingi hiyo, ni uhakika kuwa six, alimtonya pia JK na akaambiwa weka mambo yote wazi. Na kutokana na matamshi ya JK katika hotuba zake za hivi kARIBUNI, huko pemba na Dodoma, ni wazi kabisa JK alikuwa anajuwa what is happening...
Nadhani kuna haja kubwa ya kumpongeza JK kwa ujasiri wa kubadilisha mambo haraka haraka. JK ieleweke, anamtihani mkubwa wa kuiweka sawa system. HONGERA JK, ni Rais wa kwanza Tanzania ambae tunaona kamati zake zikifanya kazi inavyotakiwa, ukianzia ya zombe, hii, tunangoja ya Buzwagi na BoT. Jee, unaijuwa system ni nini?
Utakumbuka kuwa kamati mbali mbali za uchunguzi za serikali ziliwahi kufanywa hapo kale, especially wakati wa Mkapa lakini zilikaliwa na hazikuufanyiwa kazi yeyote.
muda mfupi aliokuwepo JK madarakani tunaona matokeo ya kamati tofauti, na ijulikane kwamba, kuundwa kamati hii, kulitokana direct na muongozo wa JK kwa six. Nani asiyojuwa kuwa six kwa maamuzi yake binafsi asingethubutu kuunda kamati. kama ajulikanavyo ni mshabiki wa ccm hata inapokosea na kama ilivyodhihirika jana kuwa, alimtonya EL baada ya kupokea hiyo taarifa kutoka kwa kamati, na EL ndio akaona mambo mabaya na kumuandikia six kujitetea wakati ni too late. kwa misingi hiyo, ni uhakika kuwa six, alimtonya pia JK na akaambiwa weka mambo yote wazi. Na kutokana na matamshi ya JK katika hotuba zake za hivi kARIBUNI, huko pemba na Dodoma, ni wazi kabisa JK alikuwa anajuwa what is happening...
Nadhani kuna haja kubwa ya kumpongeza JK kwa ujasiri wa kubadilisha mambo haraka haraka. JK ieleweke, anamtihani mkubwa wa kuiweka sawa system. HONGERA JK, ni Rais wa kwanza Tanzania ambae tunaona kamati zake zikifanya kazi inavyotakiwa, ukianzia ya zombe, hii, tunangoja ya Buzwagi na BoT. Jee, unaijuwa system ni nini?